Mahindi ni zao linaloongoza kuua mitaji ya wakulima nchini

Mahindi ni zao linaloongoza kuua mitaji ya wakulima nchini

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
Kilimo cha Mahindi kinashika zaidi ya 55%,ya vilimo vyote nchini, Mahindi yanalimwa karibu nchi nzima.

Soko la mahindi nchini limekua la utani sana hasa msimu wa 2020/21 mpaka sasa bei kwa gunia la serikali la mahindi kwa Mikoa inayozalisha kwa wingi kama, Ruvuma,Rukwa na Mbeya ni TSH 24,000 mpaka 30,000.

Soko la mahindi limekosa uhakika kwa miaka mingi nchini pamoja kuwa ndio zao linalolimwa kwa wingi zaidi nchini.
 
Kilimo cha Mahindi kinashika zaidi ya 55%,ya vilimo vyote nchini, Mahindi yanalimwa karibu nchi nzima.

Soko la mahindi nchini limekua la utani sana hasa msimu wa 2020/21 mpaka sasa bei kwa gunia la serikali la mahindi kwa Mikoa inayozalisha kwa wingi kama, Ruvuma,Rukwa na Mbeya ni TSH 24,000 mpaka 30,000.
Nini kifanyike
 
Tatizo lenu wafanyabiashara mnataka faida sana..uwepo wa mahindi kwa wingi na kwabei nafuu ni jambo jema..hii kuonyesha hakutakua na tatizo la njaa nchini....pia kama unaona mahindi jau badili biashara.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuishi Kwa kutegemea kilimo Kwa hapa bongo inahtaj uondoe nati moja ya akili kichwani
80% ya Watanzania wanaishi kwa Kutegemea Kilimo Kama njia pekee ya uzalishaji, labda kama unazungumzia kutajirika kupitia kilimo
 
Kilimo cha Mahindi kinashika zaidi ya 55%,ya vilimo vyote nchini, Mahindi yanalimwa karibu nchi nzima.

Soko la mahindi nchini limekua la utani sana hasa msimu wa 2020/21 mpaka sasa bei kwa gunia la serikali la mahindi kwa Mikoa inayozalisha kwa wingi kama, Ruvuma,Rukwa na Mbeya ni TSH 24,000 mpaka 30,000.

Soko la mahindi limekosa uhakika kwa miaka mingi nchini pamoja kuwa ndio zao linalolimwa kwa wingi zaidi nchini.
Mahindi yakibaki kutumika kwa ugali tu hayatapanda bei.Wakulima wabuni matumizi mengine ya mahindi kama chakula cha mifugo nk.
 
Kuishi Kwa kutegemea kilimo Kwa hapa bongo inahtaj uondoe nati moja ya akili kichwani
Siyo kweli Mkuu,; maisha ya watanzania wengi yanategea kilimo asilimia 100. Hao wote wameondoa nut? Hii ni sweeping statement
 
80% ya Watanzania wanaishi kwa Kutegemea Kilimo Kama njia pekee ya uzalishaji, labda kama unazungumzia kutajirika kupitia kilimo
Utajiri ni upi? Wakulima matajiri wengi Sana tu. Unataka kusema hiyo asilimia 80 ni maaikini. Wakulima wengi, wanamiliki milioni 40 kwenda juu na katika maeneo yao wanatajwa kuwa matajiri. Utajiri ni relative, hauna measurements. Jamii inayokuzunguka ndiyo inaamua wewe tajiri au maskini.
 
Bei ya mahindi ikieleweka, Tanzania itafika uchumi wa kati.
Tumepoteza wateja wote muhimu
 
Tatizo lenu wafanyabiashara mnataka faida sana..uwepo wa mahindi kwa wingi na kwabei nafuu ni jambo jema..hii kuonyesha hakutakua na tatizo la njaa nchini....pia kama unaona mahindi jau badili biashara.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sio capitalism mindset ni mindset ya kijamaa
 
Back
Top Bottom