Mahindi ya Msaada Bomu lingine kwa BASHE

Mahindi ya Msaada Bomu lingine kwa BASHE

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
ZOEZI la ugawaji wa mahindi ya msaada limeonekana kulalamikiwa sana na wananchi wengi hasa wa vijiji walilaumu mfumo wa kuyafuata mahindi hayo ama makao makuu ya wilaya au makao makuu ya Kata na kukutana na urasimu mkubwa.

Miongoni mwa mambo ya ajabu yanayonekana Bei ya mahindi ni Sh 800 kwa kilo lakini inaonekana wafanyabishara wakubwa wameingilia kati na kununua mahindi hayo na kusafirisha kwenda kwenye masoko makubwa ya maeneo ya mijini.

Mambo haya ya vyakula vya misaada na mbolea za ruzuku yasipoangaliwa kwa mapana yake yanakwenda kuichafua Serikali kwa kiasi kikubwa sana.
 
Sasa mleta mada unataka Bashe awepo kila Kijiji? Kwann maichukue hatua kwa kila anayehujumu juhudi za serikali?
 
Sasa mleta mada unataka Bashe awepo kila Kijiji? Kwann maichukue hatua kwa kila anayehujumu juhudi za serikali?
bashe ndiye aliyepewa jukumu la kuratibu vizuri ugawaji wa chakula kama yeye hafuatilii alaumiwe nani haya mambo ya vyakula vya misaada ndio maana JPM aliyakataa kwa sababu alijua sio msaada kwa masikini kama inavyosemwa
 
bashe ndiye aliyepewa jukumu la kuratibu vizuri ugawaji wa chakula kama yeye hafuatilii alaumiwe nani haya mambo ya vyakula vya misaada ndio maana JPM aliyakataa kwa sababu alijua sio msaada kwa masikini kama inavyosemwa
Bashe yawezekana katimiza jukumu lake vema lkn kuna wahuni wachache wanaharibu zoezi. Tunapaswa kumsaidia kwa kutimiza wajibu wetu.

Mlinda nchi ni mwananchi.
 
Bashe yawezekana katimiza jukumu lake vema lkn kuna wahuni wachache wanaharibu zoezi. Tunapaswa kumsaidia kwa kutimiza wajibu wetu.

Mlinda nchi ni mwananchi.
angekuwa katimiza kusingekuwa na malalamiko
 
Haya mambo ya kutupa vitu vya bure ndio matokeo yake wanatusimanga tunapenda vya bure.

Sisi watanzania hatuzaoeaga vitu vya bure sababu kila kitu tumezoea kulipia.
 
ZOEZI la ugawaji wa mahindi ya msaada limeonekana kulalamikiwa sana na wananchi wengi hasa wa vijiji walilaumu mfumo wa kuyafuata mahindi hayo ama makao makuu ya wilaya au makao makuu ya Kata na kukutana na urasimu mkubwa.

Miongoni mwa mambo ya ajabu yanayonekana Bei ya mahindi ni Sh 800 kwa kilo lakini inaonekana wafanyabishara wakubwa wameingilia kati na kununua mahindi hayo na kusafirisha kwenda kwenye masoko makubwa ya maeneo ya mijini.

Mambo haya ya vyakula vya misaada na mbolea za ruzuku yasipoangaliwa kwa mapana yake yanakwenda kuichafua Serikali kwa kiasi kikubwa sana.
wapi huko mkuu wanakogawa mahindi?
 
Mahindi hayo yanapofika sehemu husika wanayagawa machache lakini mengi yanaishia kwa wafanyabiashara wakubwa na kuuzwa kwa bei kubwa

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Unamjadili bashe nae ni kiongozi ni mpigaji mmoja kajificha kwenye usomali
 
ZOEZI la ugawaji wa mahindi ya msaada limeonekana kulalamikiwa sana na wananchi wengi hasa wa vijiji walilaumu mfumo wa kuyafuata mahindi hayo ama makao makuu ya wilaya au makao makuu ya Kata na kukutana na urasimu mkubwa.

Miongoni mwa mambo ya ajabu yanayonekana Bei ya mahindi ni Sh 800 kwa kilo lakini inaonekana wafanyabishara wakubwa wameingilia kati na kununua mahindi hayo na kusafirisha kwenda kwenye masoko makubwa ya maeneo ya mijini.

Mambo haya ya vyakula vya misaada na mbolea za ruzuku yasipoangaliwa kwa mapana yake yanakwenda kuichafua Serikali kwa kiasi kikubwa sana.
Serikali ijichafue mara ngapi kwa tunaojitambua 2025.
 
Back
Top Bottom