Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Habari zenu wandugu,
Kwanza nashukuru kwa kunipa hamasa ya kuingia kwenye kilimo.
Inshallah mambo yakienda vizuri nategemea kuwa na mahindi kama gunia 800 au zaidi mwezi wa saba mwaka huu hapo Bagamoyo
Naomba kujua nitauza wapi haya mahindi?, kama wateja wapo ikifika wakati naomba tuwasiliane.
Kwanza nashukuru kwa kunipa hamasa ya kuingia kwenye kilimo.
Inshallah mambo yakienda vizuri nategemea kuwa na mahindi kama gunia 800 au zaidi mwezi wa saba mwaka huu hapo Bagamoyo
Naomba kujua nitauza wapi haya mahindi?, kama wateja wapo ikifika wakati naomba tuwasiliane.