MAHINGILA of BRELA: Another dodgy CEO

huyo jamaa wa Brella +EL+Jamaa wa EWURA+Mkurugenzi TISS=Classmates Mirambo secondary (high School).
I wonder walisoma nini enzi hizo. Big shadows of corruption.

Hebu tusaidie majina ya:
  1. Headmaster wao
  2. Discipline Master wao
  3. Mchepuo wao(combination)
 

Unajua ndio kwanza naisoma hiyo statement

I'm just speechless

I think we need a tea party moment hapa Bongo
 


duu... hata mimi sikusoma .... kweli kuna mambo ... this guy is lousy ... ndiyo maana hata wamiliki wa DOWANS wameweza ku take cover kirahisi....

huyu bwana nilishamsikia kwenye forum moja UD... hafai nadhani anakariri
 
can anyone explain to me how this man even got a Job wakati its clear to me hajui English. Unless he was sending this via text message.

I hope he's not a product of MLIMANI
 
can anyone explain to me how this man even got a Job wakati its clear to me hajui English. Unless he was sending this via text message.

I hope he's not a product of MLIMANI

Thank you very much.
Esteriano E. Mahingila

As if website ni mali yake....halafu ni thank you so very much au just thank you...but more ideally you are all welcome
 
Thank you very much.
Esteriano E. Mahingila

As if website ni mali yake....halafu ni thank you so very much au just thank you...but more ideally you are all welcome

mkuu... na wewe hapa kwenye red umeteleza au..?
 
this authoritative institution is very sensitive ... i wonder why we have maladministration.... apart from that in every business you will need to be registered and established under the company act 2002 cap 212.... but non is done in accordance to the law... BRELA is the catalyst of all this... it also promotes companies that are purposely doing massive fraud and deceptions in our business community
 
huyo jamaa wa Brella +EL+Jamaa wa EWURA+Mkurugenzi TISS=Classmates Mirambo secondary (high School).
I wonder walisoma nini enzi hizo. Big shadows of corruption.
huyo inasemekana hata uraia wake una utata! ana asili ya nchi jirani na hajawahi kuukana uraia wa huko!

Halafu mbona software yenyewe haifanyi kazi?
 
hii nchi ina madudu jamani, kila utakapogusa .....ni fyongo tupu...mi naona mkwere kama ana nia nzuri na watz apige chini the whole system of government....hata mjomba alitoa angalizo ...kuanza upya si ujinga....bt hw coz hata sauti hana ( he is part of...)...ahaaaaaa Mungu atushushie rehema watz...
 
Yaani website ya kampuni ya kiserikali [one Billioni Tshs. website] imejaa upupu na ubabaishaji kuliko website za kindergaterns, haya sehemu nyingine wanazungumzia malipo kwa dola ya kimarekani, sehemu nyingine wanasema Tshs, sehemu nyingine wanasema tu Shs...

Halafu lugha sio ya corporate world kabisaaa...:A S 27:


# Fees payable is US$ 1,100 towards registration fees and US$ 300 for filing.

Is Shs. 45,000/- for the whole application. Meaning 15,000/- for each document i.e. Memorandum and Articles of Association, form no.1, 14a and 14beach Shs.15,000/- total shs. 45,000/-

Is paid Tshs.6,000/- for the original Memorandum and Articles of Association, shs. 1,200/- for form no.1. Tshs. 5,000/- is paid as stamp duty for each copy of Memorandum and Articles of Association.
 

Huyo ni Nyaga Mawala na Hawara wake Rehema Kitambi .. Ass. Registrar wa BRELA.... Nyaga ni mjanja mjanja fulani hivi... mwnasheria aliyerithi kampuni iliyokua na corporate clients wengi wakiwemo KKKT .... anamiliki estates za kufa mtu huko arusha... na sasa ameshachukua hizo pesa za software ya BRELA... ni kaka na mdhamini wa klabu moja mashuhuri ya starehe moshi ijulikanayo kama La Liga ....
 
Naona wataalam wa Ngeli wanateleza kuliko hata CEO. Endeleeni kukosoa nanyi mkosolewe!
 
Mdahalo Kuhusu DOWANS Payment Saga...... Renatus Mkinga asema ..BRELA inachangia kuleta uhuni hapa nchini... hii ni aibu kubwa sana kwa intitution kubwa kama hii kulaumiwa hadharani
 
Duh,hivi kuna kitu hakina mkono wa rushwa nchi hii na ujanja ujanja??tumefika point ya yeyote mwenye madaraka kufanya atakavyo.Kuna vitu ni bora usijue coz unaweza pata kichaa!:Cry:
 
niliona kwenye taarifa moja ya habari ofisi za brela kumejaa ma file tupu hawatunzi kumbukumbu kwenye computer eti kisa kuna sheria moja ya ushahidi haitambui ushahidi wa kwenye computer(electronic, WAnasheria mtanisaidia km nimekosea) eti ndo maana wanatunza ma hadr copy, dah kweli brela nyie kiboko.
 
Ndio hivyo tena, Sijatembelea tena website yao lakini kama wako makini nashauri ishushwe wajipange kisha waadress hizi tuhuma ili tuende mbele

Hivi huyu ana ripoti kwa nani?
 
Mkuu kwanza kabisa kabisa lazima ujue hii BRELA ina mapungufu makubwa sana kwanza kwa kuanzia suala la Software statistic inaonyesha kuwa hizi nchi za mashariki Ukraine,Russia na Estonia ni wabaya sana kwa masuala ya IT na zimeingia kumia bora kwa kutoa IT Expert bora mfano ukiangalia SKYPE ilikuwa developed software lakini naweza kukuhakikishia the best software ambayo ingeweza kuwa desined kukidhi mahitaji ya Brela ingeweza kugharibu dola 10000 za kimaekani ambacho kiwango chake ni kubwa kutokana na ushiriki wa watalamu wengi kwenye software more kwa hivyo kwa suala la billioni moja hapo kuna ubatilifu mkubwa sana wa fedha manake mimi mwenyewe nimedevelop software kubwa sana ya sheria kwa bei rahisi sana huu ni upmbavu sijui nchi hii inaenda wapi tu

Pili kumeibuka wimbi kubwa la matapeli wengi sana kutoka nchi za africa magharibi na kati ambao wamekuwa wakiwaibia wageni na hasa wakidai kuwa wanamiliki makaakampuni ya madini kibaya zaidi hiyo program imekuwa haitoa mwanya mzuri wa kugagua makampuni na pia kumekuwa na mlolongo mkubwa sana wa kuhakikisha kama kweli kampuni ipo au haipo ambao imekuwa ikiwachosha wadau na matokeo yake kuangukia kwenye mikononi mwa magenge ya matapeli
 
Hawa Mawalla si ndo wenye eneo kubwa mithili ya kijiji pale Arusha opposite na TANAPA's HQ?

Mwenye more info kuhusu Mawalla please feed me.

Nyaga ni fisadi mwingine tu yeye ndo amepandisha bei ya viwanja Arusha. Ana kampuni ingine ya Mawalla holdings ambayo ndo inashughulika na construction na inasemekana bwana EL ana mkono hapo. Anamiliki eneo kubwa sana Burka na ame develop plots ambazo anauza kwa bei mbaya.

Alipeleka proposal yake ya mji mpya Municipal ya Arusha lakini sijui imefikia wapi. Kwasasa pia ni Company secretary wa Grumeti Reserve Fund owned by Paul Tudor Jones a US TYCOON Kazi yake kubwa ni ku draft mikataba ya kuchukua ardhi toka kwa Wakuria na Mwenyekiti wa board ya Grumeti Reserve Fund ni Sir Gorge Kahama (Hata Raisi yuko karibu sana na Paul Jonnes, mwaka 2007 alipokwenda US alimtembelea na wakatoka kwenye TV wamevaa sare. Google hiyo Grumeti Reserve Fund nayo ilpewa eneo kubwa sana la ardhi linalopakana na Serengeti National Park. Case yao haina tofauti na Otello Business Corporation owned by UAE/SAUDI ARABIA KINGS.

Nyaga Mawalla started being successfull kampuni yake ilipopata tender ya ku liquidate kampuni ya Mashado mwaka 1998, alijiuzia karibia mali zote za kampuni hii. Hapa ndo alijenga reputation kwa foreign companies nyingi za Arusha.

By the way the guy is very bright, smart, expensive, focused, opportunist.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…