Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Wakili Deogratius Mahinyila amesema hatakuwa tayari kuona wananchi wanaonewa kwa mambo mbalimbali kama kutozwa kodi na kukamatwa na polisi 'kiholela' hivyo atapambana ili kujenga kuheshimiana kati ya wananchi na mamlaka.
Mahinyila amesisitiza hilo tarehe 31 Januari, 2025 wakati akizungumza na wananchi wa Mpwapwa mkoani Dodoma alipokuwa akielekea kijijini kwao Berege ikiwa ni mara ya kwanza kufika huko tangu kuchaguliwa kwenye nafasi hiyo
Mahinyila amesisitiza hilo tarehe 31 Januari, 2025 wakati akizungumza na wananchi wa Mpwapwa mkoani Dodoma alipokuwa akielekea kijijini kwao Berege ikiwa ni mara ya kwanza kufika huko tangu kuchaguliwa kwenye nafasi hiyo