NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Habari za muda huu wana JF.
Kama kichwa kinavyojieleza, nahitaji msaada wenu wa kitaalamu. Nina boma langu ambalo nahitaji kulipaua baada ya kukaa muda mrefu bila paa. Nimejaribu kuhesabu na mafundi kadhaa ili wafike pale site na kunipa za bati mahitaji.
Hata hivyo, kila mara wanaponitumia hesabu zao, naona kama idadi ya bati ni nyingi sana. Mtaalamu wangu wa muda mrefu, ambaye alikuwa akinisaidia kila mara, kwa sasa amekwama Zambia na mawasiliano hayapatikani. Kwa hiyo, nimewaomba mafundi wanitumie mchoro ambao naambatanisha hapa kwa uchambuzi zaidi.
Bati ninazotaka kutumia upana wa 1015mm.
Asante sana kwa msaada wenu.

Kama kichwa kinavyojieleza, nahitaji msaada wenu wa kitaalamu. Nina boma langu ambalo nahitaji kulipaua baada ya kukaa muda mrefu bila paa. Nimejaribu kuhesabu na mafundi kadhaa ili wafike pale site na kunipa za bati mahitaji.
Hata hivyo, kila mara wanaponitumia hesabu zao, naona kama idadi ya bati ni nyingi sana. Mtaalamu wangu wa muda mrefu, ambaye alikuwa akinisaidia kila mara, kwa sasa amekwama Zambia na mawasiliano hayapatikani. Kwa hiyo, nimewaomba mafundi wanitumie mchoro ambao naambatanisha hapa kwa uchambuzi zaidi.
Bati ninazotaka kutumia upana wa 1015mm.
Asante sana kwa msaada wenu.

