Mahojiano Baada ya Mechi Kuisha

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu NAomba Kujua.
.
Naonaga Kila Mechi Ikiisha Watangazaji wa Azam Media wanawahoji wachezaji/Makocha wa Mechi Husika.
.
Ila ts second time Naona Mechi za Azam zikimalizika Wachezaji au Makocha Hawahojiwi.
.
Hivi huwaga ni utashi wa Watangazaji wanaokuwa Kwenye hizo Mechi au kanuni za mashindano ya TFF zinataka iwe Hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waje watueleze hapa Azam tafadhali kuhusiana na hili
 
Hii timu ya Azam inajua kuikamia Yanga tu! Yaani Polisi leo wamejipigia tu kiulaini. Tena kwenye uwanja wao wa kisasa kabisa wa Chamazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…