Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Pitia comments huyo ni hamisa bana alitoa picha asitake kugombanisha watu

Ni kweli 70% jana domo katudanganya vingi tu
Yawezekana ni yy pia ila bora diamond alivyomkubali mtoto mbele ya hadhara ht kama asimhudumie mwisho wa siku ataumbuka yy dai na atakapoulizwa na mtoto kwa nini alishindwa kumhudumia atajua anavyojibu
Kingine pesa au huduma sijui ni vitu vidogo sana umuhimu mtoto wa nani?atakua tu,ht shule za kayumba atasoma tu!
 
Anakata miuno sanaaa halafu k yake sijui anafanyaje inakuwa kama inaikamua dyudyuu hivi na ni mnatoo wahatarii..ni hayo tu kwa sasa
 
Na ndilo Diamond alitakiwa afanye kukubali au kukaa kimya badala ya yeye na mzazi mwenzie Zari kumshambulia Hamisa mitandaoni suala la kumtunza mtoto sio hisani asipofanya hivyo kwa hiali basi sheria itamlazimisha
Haswa, tena ikibidi Hamisa aende kwa mwanasheria wake waweke makubaliano kimaandishi ya kuhusu maintanance ya mtoto.
 

Very well said.
 
Aaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Ama kweli nyani haoni kundule...Hapa ulifuata nini kama sio umbea? [emoji28] [emoji28] au vitabu vimepotelea huku unavitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…