cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kwa nini waachane sasa kwa vitu vidogo km hvyo?!Anaapa hawezi kuachana na Zari, dogo kalishwa shuntama! Kwa maelezo haya Mobeto amejiharibia alitaka kuwa no1
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Sizonje nae atakua anasikiliza na lazima apige simu kutafuta kiki
Mengine mbwembwe tuuAisee cha muhimu mtoto kamkubali.
Hivi unaijua Recognition wewe!? Ni zaidi ya pesa,kitendo cha Diamond kumkubali tu mtoto wa Hamisa hata asipotoa mia ni faraja kwa Hamisa,msituletee mambo yenu kuna tendo la siri ila hakuna mtoto wa siri watoto wote wote wote wana baba zao wawatunze wasiwatunze ni lazima wajulikane na sio kumkataa kataa kisa unaleta sent kumi zakoNdo maana nkasema bahati anayo,alichokosa ni akili na stara,huwezi ukawa na akili ukapata wanaume wa kukulea,kukutunza na kukupa nafasi ya kupata mtaji wa kufanya biashara alafu bado ukaharibu.inamaana huyo anataka kuishi kwa kutegemea punani tu.
Ha ha ha ndio ujue kampeni ngumu sanaKwahiyo watu wanampakua Hamisa kavukavu? 😱😱😱😱
Hajui kula na kipofu huyuBora mseme nyie...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Acha mbwembwe weweeee!!!!! umchukie Domo kisa kafotoa kitoto na hamisa lazima utakuwa umerogwa...huyo Zari mwenyewe mbona ana albamu tatu za nje na Domo akamkubali? Halafu nyie si ndo walewale mliokuwa mnamsakama Domo kuwa ata tiffah na nillan sio watoto wake???? ....yaaaan wabongo mmeshindikana
Hicho nacho ni kipaji mbona hata mama zetu kula yao ni kupitia baba zetu na hakuna la ajabuDuh juzi mpoky kasema si unajua look hanaga break ya mdomo, kumbe majay analalamikaa, siku ya bday hamisa alitaka wakumbushie hehhe ila Lulu anabana kila kona, yani hamisa kula yake ni kupitia wanae lol
Diamond huwa anajua azungumze nini ,wapi na wakati gani kulingana na mashabiki zake na haters wake nini wanachotaka kukisikia kutoka kwake.Moja Ya interview za kiutu uzima alizo wahi kufanya Diamond HII NDIO YA KWANZA
Kweli watu wanabet uhai na kujitangaza waziHa ha ha ndio ujue kampeni ngumu sana
Clinton alikiri hadharan na juzi hapa mchekeshaji Kevin Hart amekiri na wana wake zao kama wangekua hawakubaliana nao wangeomba talaka, kwa hiyo kutosema tu inatosha kuhitimisha kwamba wamekubaliana na hali yaoTutamlaumu Diamond kwa sababu tuko Jukwaan hapa
Mwanaume gan yuko taya kukir hadharani kwamba amezaa nje ya ndoa yake in Public?
Mwanamke Gan yuko tayar Mumewe Akiri hadharani kwamba ana mtoto nje ya ndoa?
Clinton Alicheat kabisa kwa Monica lakin Hillary mpka kesho hawez kuja kusema mumewe alicheat.
Diamond ameshakir so what next?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] zari huyu huyu aliyemuacha mume aliyezaa nae watoto wa 3 na kukimbilia Serengeti boy hahaha kweli wabongo sie wanafiki sana, kisa ni Mbongo mwenzetu basi ni chuki juu ya chuki dhidi yakeZari ni smart kichwan nadhani umri unachangia usifananishe na hao