Mahoka ya Waimbaji Wetu wa Injili

Ni wasanii kama wasanii wengine, maisha yao binafsi sio lazima yafanane na wanachokiimba, wao wanachohakikisha ni kuwapagawisha mashabiki wao kwa sebene za Yesu zilizo na viwango kama za Ngwasuma, zenye impact kwa mashabiki zaidi ya Akudo, hivyo ndiyo wanavyopiga hela na wanaendelea na maisha yao kama kawaida.
 
umenena vyema sana mtumishi
 

Username yako mhhh. Sijui uliwaza nini??????
 
Ikuze basi tuone kile kilichoandikwa kwa kila picha ya muhusika.Maana hazisomeki.
 
Halafu baada ya hiyo tuwekeeni na waimbaji wakiume pia.
 

kweli kabisa wahahisia kama wengine tu
 
Hizi story za Rose Mhando kubwia bwimbwi zina ukweli kiasi gani? maana Shigongo kazikomalia kweli...
 

Ila mkuu hili jina lako tu ndio limenichosha ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…