usiniambie na ww ulikua unajua ni utani kama mm[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kama nimeanza kuamini amini fulani hivi maana si kwa maneno yenye hisia hivyo Mahondaw.I never expect this kwakweli mpaka nashindwa niseme nini!
Smart911 , wewe ni mwanaume wa kipekee sana sijawahi ona . Ni mwanaume ambae umenifanya mahondaw mimi walau kuwaka pia hapa jf. Nilikua gizani nimezima kabisa sina aa wala bee nipo nipo tu mahondaw mimi jamani.
Ukaniona nakufaa ukanichukua ukanisafisha walau nikapata kuonekana namimi .
Smart911 mylove Nina kila sababu ya kujivunia kuwa nawewe katika maisha yangu
Smart911 wewe ni mwanaume wa msimamo usio kifani Smart911 yani sijui nisemeje
Smart911 ukipenda umependa kweli hunifichi chochote kile Smart911 thanks for that
On what makes me happy you support me in that, when I'm sad you comfort me , when I fall you pick me up , you never leave me behind hurt nawewe ukiwepo thanks again
Umekua na moyo wa kipekee sana Smart911
Umepambana umepigana sana mpaka tumefika hapa tulipo. Tumepata changamoto nyingi sana hapa nyingine kutoka kwa marafiki zetu wa karibu kabisa wakitaka tu kuchafua jina na kuvuruga uhusiano huu but thank God Umekua ukiwapuuzia yote hio ikiwa ishara ya upendo wako kwangu. Thanks for choosing me.
Nakupenda sana Smart911
hongereni sana Mungu awasaidie mtimize lengo lenuIt's serious shogaa
Bibie wewe size yako ni Hr666.Nikupe Pole sana tu.
He's not a swahili swahili man
Hana pupaa wala haraka
He's very slow but sure.
Why chasing her own chicken lol
hamna kwa hapa jf nashndwaga kutofautisha ukweli upi na utani upi?usiniambie na ww ulikua unajua ni utani kama mm
Sijui nikuandikie[emoji85]hongereni sana Mungu awasaidie mtimize lengo lenu
mzee umetililika sana!
nakuombea kwa mungu asikuache tu!
maana unaweza kulia machozi ya diamond ukimwagwa!
Nilikwambia La Mujar mke wa mtu... Hujasoma hio post.... Ngoja hii ya Mahondaw ichuje nikuandikehahahahhah mzee wa kungoa la mujar anakuulizia kila siku eb mtafute
hahahha sitakiSijui nikuandikie[emoji85]
mm mwenyewe mke wa mtu mzee wa kungoa kama la mujar tu [emoji23]Nilikwambia La Mujar mke wa mtu... Hujasoma hio post.... Ngoja hii ya Mahondaw ichuje nikuandike
Jf huwaga unaichukuliaje mkuu Ototo?Daaaaa kumbe ninavyoichukulia jf sivyo ilivyo...
hapana kwa mahondaw nilikua najuaga utani leo ndio nimeaminihamna kwa hapa jf nashndwaga kutofautisha ukweli upi na utani upi?
nilikuwa nakushangaa tu mbona kuna watu wakiandikiana mna sema ni kweli ila hawa mna wadoubt
Prepare for lots of sweet surprises love.. You mean a lot to me... I love you with whole of my heart... Words peke yake are not enough to express how i love you even more mahondaw wangu..I never expect this kwakweli mpaka nashindwa niseme nini!
Smart911 , wewe ni mwanaume wa kipekee sana sijawahi ona . Ni mwanaume ambae umenifanya mahondaw mimi walau kuwaka pia hapa jf. Nilikua gizani nimezima kabisa sina aa wala bee nipo nipo tu mahondaw mimi jamani.
Ukaniona nakufaa ukanichukua ukanisafisha walau nikapata kuonekana namimi .
Smart911 mylove Nina kila sababu ya kujivunia kuwa nawewe katika maisha yangu
Smart911 wewe ni mwanaume wa msimamo usio kifani Smart911 yani sijui nisemeje
Smart911 ukipenda umependa kweli hunifichi chochote kile Smart911 thanks for that
On what makes me happy you support me in that, when I'm sad you comfort me , when I fall you pick me up , you never leave me behind hurt nawewe ukiwepo thanks again
Umekua na moyo wa kipekee sana Smart911
Umepambana umepigana sana mpaka tumefika hapa tulipo. Tumepata changamoto nyingi sana hapa nyingine kutoka kwa marafiki zetu wa karibu kabisa wakitaka tu kuchafua jina na kuvuruga uhusiano huu but thank God Umekua ukiwapuuzia yote hio ikiwa ishara ya upendo wako kwangu. Thanks for choosing me.
Nakupenda sana Smart911
Cc:Kasie![emoji1][emoji1][emoji1]
Inaonekana wewe na la mujar marafikimm mwenyewe mke wa mtu mzee wa kungoa kama la mujar tu [emoji23]
Mmmh!!Hutaki kwa nini Shunie?hahahha sitaki
hahahhahahInaonekana wewe na la mujar marafiki
sitaki kabisaMmmh!!Hutaki kwa nini Shunie?
Au kipi sina ambacho wewe unahitaji niwe nacho ili utake?
Utataka tu maana hamna namna na hapa najiandaa kukuandikia[emoji85]