Mahondaw mubashara interview aka kikaangoni!!

Hapa anachungulia tuu anaogopa kukanyaga ataanguka na presha


swali langu: Alisema ikiwa atamkuta smart anachenjua na kupima kojo kwingineko, ataamua na yeye kuvua kikoi na yeye wachanjuane makinikia?

Je yupo tayari kuwa side chick? Kama ikitokea mambo ya si-si vip yataisha? niishie hapo kwanza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc mahondaw

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aleppo mzima wewe???
 
Kijana Aleppo classmet umeshindwa kumtoa kwa huyu mluga luga?
Fanya mambo usiuachie utamu hivi hivi uendelee kuliwa

Namsubiri hapa aje jirani

angejua jinsi navyompenda huyu jamani sijui kama nitapenda mwanamke mwingine zaidi yako. Yaani kila nikipenda kwingine ile mashine ya msaga sumu haisimani kabisa. Namsubiri yeye aje anibikiri ndo zawadi yake!

Nitumie nini jirani nimpate mahondaw

wasifu wangu

nafanya kazi hospital mshahara wangu ni 680,000. Nina nyumba ya uridhi na shamba moja heka moja. Nina kibami improved. Mpole sana sina mpenzi kabisa. Nilichepuka mara moja ila haikusimama niishie hapo
 
Unaanzaje kukosea??? Sema tu best

Best ehhh huyu classmate wangu alinifanyia unyama ule ambao sistahili. Kipindi kile tunasoma nilimsalimia tu wala sikumueleza la moyoni aichonifanya nilikimbia darasani nikawa nakuja siku ya mtihani.

Kama angenipa moyo jamani nisingeumia vile maana ilinichukua miaka minne ndo nikaanza kutongoza maana nilikuwa nikimuona mdada inanijia yale niliyofanyiwa yaani usiombeee kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…