Mchezaji kucheza vizuri na kuonekana yupo vizuri inategemea majira ya Ligi pamoja na timu ina perform kwa kipindi flani,kama unakumbuka msimu wa mwaka jana namna hazard alivyokuwa vizuri na namna alivyoisaidia timu yake kuchukua vikombe mbalimbali,huu ni msimu tu wa Maherez kufanya vizuri kwa sababu macho yote kwa Lester city kwa sasa Leicester ipo vizuri,Tunachozungumzia hapa sio msimu ,tunazongumzia namna yupo vizuri na ameweza kuisaidia timu yake kufanya vizuri kwa misimu tofauti,Maherez huwezi kuwafananisha na kina Rooney ,Drogba,Van Persia na wengine wengi walioperform vizuri kwa misimu mfurulizo.Nitawapa mfano Mahrez alikuwa Leicester to 2014 ,Leicester city haikufanya vizuri na mpaka hii timu ilikaribia kushuka daraja.Mahrez huwezi kumfananisha na Drogba tuache ushabibiki.