MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Aaaaaaaah hiyo ni gia ya wanaume kumega kwa raha zake kama anamponda mke wake kwa nini akimaliza shuhuri iliyo mleta anakumbuka kuna kurudi tena nyumbani kwa nyumba kubwa kwa nn asikae hapo hapo?
Hapo chacha maana huyu kamwambia mkewe baada ya kumfuma kwa bi mdogo anamwuliza "kimekuleta nini huku kwani nyumbani huna chakula?"Aaaaaaaah hiyo ni gia ya wanaume kumega kwa raha zake kama anamponda mke wake kwa nini akimaliza shuhuri iliyo mleta anakumbuka kuna kurudi tena nyumbani kwa nyumba kubwa kwa nn asikae hapo hapo?
Hapo chacha maana huyu kamwambia mkewe baada ya kumfuma kwa bi mdogo anamwuliza "kimekuleta nini huku kwani nyumbani huna chakula?"
Ammah we umenioa mie nije kula chakula? kwani kwetu nlikuwa sili hadi nkakubali unioe?? ah mnatutenza jamani. Ila nasikia kuna wanawake pia ambao wananogewaga na nyumba ndogo zao kiasi cha kuwasahau na kuwadharau waume zao
Tatizo wengine (kama huyu alozungumziwa hapa) ana miaka sita na bi mdogo kamnunulia hadi gari na kuitelekeza familia yake kimatumizi anaondoka asubuhi anarudi alfajiri. Sasa sijui imetokana na uvivu wa mwanajamiione hapa? Maana naona ka vile Mama Big kiboko yao ndo kamkamata lol......kaambiwa Vuvuzela laumiza ngoma za masikio so Mama Big anaziba taratib....ndo kanogewaSi unajua ule msemo wa juzi mwenzako akila huku wewe kula kule
Hapo chacha maana huyu kamwambia mkewe baada ya kumfuma kwa bi mdogo anamwuliza "kimekuleta nini huku kwani nyumbani huna chakula?"
Ammah we umenioa mie nije kula chakula? kwani kwetu nlikuwa sili hadi nkakubali unioe?? ah mnatutenza jamani. Ila nasikia kuna wanawake pia ambao wananogewaga na nyumba ndogo zao kiasi cha kuwasahau na kuwadharau waume zao
mie mwanamke mwenzangu acjeshawishika kunifanyia hiko kitendo, dharau kubwa sana, nitaanza nae then nitamalizana na mhucka, kama anakula ale kwa abadu zake za kumtosha.
Tatizo wengine (kama huyu alozungumziwa hapa) ana miaka sita na bi mdogo kamnunulia hadi gari na kuitelekeza familia yake kimatumizi anaondoka asubuhi anarudi alfajiri. Sasa sijui imetokana na uvivu wa mwanajamiione hapa? Maana naona ka vile Mama Big kiboko yao ndo kamkamata lol......kaambiwa Vuvuzela laumiza ngoma za masikio so Mama Big anaziba taratib....ndo kanogewa
hapo sasa yaani ni ngumu kuelewa sijui ndo mambo ya Matters of the hearts!! yaani nyamayao shemeji anakula na Da Sophy afu ukimwuliza Prezidaa mbona siku hizi mambo sivyo aanze tu kukujibu mbofu mbofu na kukuuliza kwani una shida gani? huli chakula? watoto hawendi ****** ?? aahmie mwanamke mwenzangu acjeshawishika kunifanyia hiko kitendo, dharau kubwa sana, nitaanza nae then nitamalizana na mhucka, kama anakula ale kwa abadu zake za kumtosha.
Mbona ulipotea au na wewe ulikuwa katika harakati za kulinda kura kama mimi
Hahahaha hakuna lolote si kunukishwa wala kulambishwa....kajichetua mwenyewe tu.Ati usije kuta naye kanusishwa
Hahahaha hakuna lolote si kunukishwa wala kulambishwa....kajichetua mwenyewe tu.
Tatizo wengine (kama huyu alozungumziwa hapa) ana miaka sita na bi mdogo kamnunulia hadi gari na kuitelekeza familia yake kimatumizi anaondoka asubuhi anarudi alfajiri. Sasa sijui imetokana na uvivu wa mwanajamiione hapa? Maana naona ka vile Mama Big kiboko yao ndo kamkamata lol......kaambiwa Vuvuzela laumiza ngoma za masikio so Mama Big anaziba taratib....ndo kanogewa
hapo sasa yaani ni ngumu kuelewa sijui ndo mambo ya Matters of the hearts!! yaani nyamayao shemeji anakula na Da Sophy afu ukimwuliza Prezidaa mbona siku hizi mambo sivyo aanze tu kukujibu mbofu mbofu na kukuuliza kwani una shida gani? huli chakula? watoto hawendi ****** ?? aah
mie mwanamke mwenzangu acjeshawishika kunifanyia hiko kitendo, dharau kubwa sana, nitaanza nae then nitamalizana na mhucka, kama anakula ale kwa abadu zake za kumtosha.