Mahusiano ah.............

Unaniangusha kamanda.....yaani umeshindwa hata kuangusha ndezi bana??......mbona tunawaelewa mradi tu mplay safe!
hahahaaaa... kamanda najua unawaelewa sana, lakini ndo hivyo tena, hata dawa ina expiry date yake na kuanzia hapo potency inakua nehi che!
 

Luv m si ndo mtoto wa 'kwanza'/.......vingine vyote vinaweza KUSUBIRI inapofika maslahi yangu hasa yanayohusiana na unyumba au sio....lol
 
hahha hah roya roy ndo kanifundsha!!!!!!
teamo ebu soma aralka ufute basi ata km ameona japo tupoteze ushaidi............!!!!!!!
HANA MADHARA HUYO!......
roya ni kama......tuner fish
 
Apo juu...Rose na Baba G.......:nono::nono::nono:
 
MwanajamiiOne;1236678]hapo sasa ..kuna thread ilishawahi kutoka hapa ikiuliza kuolewa/kuoa ndo mwisho wa kupenda?. wajua sometimes ndoa inawapa kiburi baadhi ya wanandoa..anajua akikuchakachua hutokuwa na la kufanya....ingawaje mara nyingi tunalalamikiwa sie kina mama kuwa tunajisahau na kuona tumefika lakini hata kina baba jamani nao wanajisahau.akishakuoa anaona ndo kamaliza anawezakutenda kama mbwa wa jirani akiamini huwezipenda tena........ Mama Big anasema mke akishaona mumewe anamtendea maovu, naye anatafuta liwazo lake la pembeni .......ndo maana ya msemo wa akidumishia hapa, wapo wanaodumishia kule (I wish kungekuwa na icon za kuonyesha hiyo kidumu)


Wewe kwa mtizamo wako unasemaje kuhusiana na hilo mwana Jamii 1 kama situation km hiyo ikikutokea japo hatuombei iwe hivyo?


 

...pheewwww!
sijui niseme au ndio nitakuwa namwaga mtama kwa kuku wengi?

aarrghh, acha nivumilie tu mana kuna wengine nitakuwa nawakumbushia msiba!
Ila kwa kifupi, kina dada mnachoniudhi mkishapata 'Serengeti Boy' mnahudumia kuliko mume uliomuacha nyumbani,
wale wanaookoteza 'Sugar daddy' nao wanajivimbisha vishwa na ujeuri juu mpaka mtu unashtukia unaibiwa, almuradi katika haya hakuna aliye na afadhali bana, ...!
 
mie mwanamke mwenzangu acjeshawishika kunifanyia hiko kitendo, dharau kubwa sana, nitaanza nae then nitamalizana na mhucka, kama anakula ale kwa abadu zake za kumtosha.

...mnh,

Unaweza kunawa baada ya kula, na mdomo ukaufuta...lakini si unajua tena shibe haina adabu? kuna kubeua, au hata usingizini ukatokwa na upepo!... Salama ya mambo haya ni kutia nia na 'kujifunga' tu. Haya mambo ya kula hapa na pale hayanadiwi mtu ale kwa adabu.
 
Hahahaha hakuna lolote si kunukishwa wala kulambishwa....kajichetua mwenyewe tu.

Waswahili husema nyani haoni kundule..............jichunguze na utagundua kuna mamambos humridhishi na umekuwa na visingizio kebekebe vya kukwepa majukumu yako asilia..........................Rekebisha hayo na manung'uniko yatakwisha.......................jamaa atatulia mwororo.......na wewe utafurahi mno.......................
 

Mambo mengine hata kama nitamaa ya mwili/akili basi yanapitiliza..kwanini mtu asifurahie kufanya ngono bila kumdhalilisha mwandani wake tena mke wake ambae wamekula kiapo.
siku zote kama mwanaume anakudharau na kukudhalilisha kwa nyumba ndogo usitegemee nyumba ndogo ikakupa heshima!..
 
Mh we nawe kusoma hujasoma vizuri sie mimi naelalamika amah...............Hebu rudi mlangoni ukasome tangazo vizuri
 

MJ1 pole mwaya kama imekunyea, ................... pita kwa Mama Big akupatie ka-tuition ............:lying:
 
Mh we nawe kusoma hujasoma vizuri sie mimi naelalamika amah...............Hebu rudi mlangoni ukasome tangazo vizuri
Wakati mwingine mjumbe huuwawa ....... haaha .......... so there u go:smile:
 
mambo mengine sio ya kucheka lakini inabidi tu, mie cku hizi namhurumia kweli mtu naeshadadia kuingia kwenye ndoa, lakini wacha waingie wajionee wenyewe.

Ya kweli hayo Nyammayangu ...?! alaf sikuhizi unahasira kama nini, sijui ndio mwezi mchanga .............. usije ukatunyima maisha bana ..:smile:
 
MJ1 pole mwaya kama imekunyea, ................... pita kwa Mama Big akupatie ka-tuition ............:lying:

Aksante GFM but its not me..............at least sijafikia huko bado.
 
Aksante GFM but its not me..............at least sijafikia huko bado.
Haya kaza buti usijefika huko .................... wanasema ati mukiingia ndani hamuambiliki visingizio n.k. ........ wakati wkina Mama Big wameshaka mkao wa kula/lwa .......................... :smile: .............. sijui hayo ni ya kweli :thinking:
 
Haya kaza buti usijefika huko .................... wanasema ati mukiingia ndani hamuambiliki visingizio n.k. ........ wakati wkina Mama Big wameshaka mkao wa kula/lwa .......................... :smile: .............. sijui hayo ni ya kweli :thinking:

Hahahahahaaaaa........ kuna kaukweli ndani yake ndugu yangu ingawa si mara zote inakuwa hivyo.....kujisahau na kutake for granted hata kina baba nao hufanya hivyo.
 
Hahahahahaaaaa........ kuna kaukweli ndani yake ndugu yangu ingawa si mara zote inakuwa hivyo.....kujisahau na kutake for granted hata kina baba nao hufanya hivyo.
Sio kwa idara hiyo ........................ angalizo nipo ndani pia ..................:smile:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…