hahahaaaa... kamanda najua unawaelewa sana, lakini ndo hivyo tena, hata dawa ina expiry date yake na kuanzia hapo potency inakua nehi che!Unaniangusha kamanda.....yaani umeshindwa hata kuangusha ndezi bana??......mbona tunawaelewa mradi tu mplay safe!
Banyankole balaa wallahi... :doh: nimeishia kunawa tu, kula sili mimate tuu
mnajua muwe mnatofautisha kitu kimoja, huyo mwanamke anaweza kufanya hivy coz ana muda wa ziada wa kutafuta mbinu za kukurubuni wewe, mie nitoke job cjapika, cjui manka ana homework, kabula na flu, kidume changu kinataka nikalishe mie tu, huku Kaizer atake nimwekee cjui maji na kisoc cha kubebea hizo ndude zake, cjui nimlishe na yeye, mara nini na nini, bado mie mwenyewe, huo muda naupatia wapi mtu huyu huyu?
HANA MADHARA HUYO!......hahha hah roya roy ndo kanifundsha!!!!!!
teamo ebu soma aralka ufute basi ata km ameona japo tupoteze ushaidi............!!!!!!!
inahuuu....!???!Apo juu...Rose na Baba G.......:nono::nono::nono:
natumaini wote wazima
Jamani huu umbeya wa kina Geah una mambo. Eti kuna mwanamke analalamika kuchukuliwa mumewe na mwanamke mwingine ambaye amemteka kupitiliza hadi anasahau familia yake huku akimpa kashfa kibao mkewe.............. Nashangaa hivi hata kama ndo mnatuibia, hamweziiba kisiri jamani bila kutushika mikono??
Si bure ndo mana kina mama nao siku hizi wanaapply Mama Big's principle kuwa .......yeye anadumishia hapa, wapo wanaodumishia kuleee.............
Hivi kina mama nasi huwa tunatekwaga kihivi? au wenzetu mko more delicate inside kuliko sie??
mie mwanamke mwenzangu acjeshawishika kunifanyia hiko kitendo, dharau kubwa sana, nitaanza nae then nitamalizana na mhucka, kama anakula ale kwa abadu zake za kumtosha.
Hahahaha hakuna lolote si kunukishwa wala kulambishwa....kajichetua mwenyewe tu.
natumaini wote wazima
Jamani huu umbeya wa kina Geah una mambo. Eti kuna mwanamke analalamika kuchukuliwa mumewe na mwanamke mwingine ambaye amemteka kupitiliza hadi anasahau familia yake huku akimpa kashfa kibao mkewe.............. Nashangaa hivi hata kama ndo mnatuibia, hamweziiba kisiri jamani bila kutushika mikono??
Si bure ndo mana kina mama nao siku hizi wanaapply Mama Big's principle kuwa .......yeye anadumishia hapa, wapo wanaodumishia kuleee.............
Hivi kina mama nasi huwa tunatekwaga kihivi? au wenzetu mko more delicate inside kuliko sie??
Mh we nawe kusoma hujasoma vizuri sie mimi naelalamika amah...............Hebu rudi mlangoni ukasome tangazo vizuriWaswahili husema nyani haoni kundule..............jichunguze na utagundua kuna mamambos humridhishi na umekuwa na visingizio kebekebe vya kukwepa majukumu yako asilia..........................Rekebisha hayo na manung'uniko yatakwisha.......................jamaa atatulia mwororo.......na wewe utafurahi mno.......................
natumaini wote wazima
Jamani huu umbeya wa kina Geah una mambo. Eti kuna mwanamke analalamika kuchukuliwa mumewe na mwanamke mwingine ambaye amemteka kupitiliza hadi anasahau familia yake huku akimpa kashfa kibao mkewe.............. Nashangaa hivi hata kama ndo mnatuibia, hamweziiba kisiri jamani bila kutushika mikono??
Si bure ndo mana kina mama nao siku hizi wanaapply Mama Big's principle kuwa .......yeye anadumishia hapa, wapo wanaodumishia kuleee.............
Hivi kina mama nasi huwa tunatekwaga kihivi? au wenzetu mko more delicate inside kuliko sie??
Wakati mwingine mjumbe huuwawa ....... haaha .......... so there u go:smile:Mh we nawe kusoma hujasoma vizuri sie mimi naelalamika amah...............Hebu rudi mlangoni ukasome tangazo vizuri
mambo mengine sio ya kucheka lakini inabidi tu, mie cku hizi namhurumia kweli mtu naeshadadia kuingia kwenye ndoa, lakini wacha waingie wajionee wenyewe.
MJ1 pole mwaya kama imekunyea, ................... pita kwa Mama Big akupatie ka-tuition ............:lying:
Haya kaza buti usijefika huko .................... wanasema ati mukiingia ndani hamuambiliki visingizio n.k. ........ wakati wkina Mama Big wameshaka mkao wa kula/lwa .......................... :smile: .............. sijui hayo ni ya kweli :thinking:Aksante GFM but its not me..............at least sijafikia huko bado.
Haya kaza buti usijefika huko .................... wanasema ati mukiingia ndani hamuambiliki visingizio n.k. ........ wakati wkina Mama Big wameshaka mkao wa kula/lwa .......................... :smile: .............. sijui hayo ni ya kweli :thinking:
Sio kwa idara hiyo ........................ angalizo nipo ndani pia ..................:smile:Hahahahahaaaaa........ kuna kaukweli ndani yake ndugu yangu ingawa si mara zote inakuwa hivyo.....kujisahau na kutake for granted hata kina baba nao hufanya hivyo.