MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Mkuu penzi la hao watu ni ful kuviziana, vile vya fasta fasta ucpime!
yaaani hilo DOGO lomekomaaa,nimelikataaa weeee waaapi,eti kisa sijaoa.....kila anitae uutansikia DOGO,
Maeneo yoote ya Ofisi yana utani saana dhidi ya wafanya kazi wenzao.. But ninachojua mara nyingi wahusika automatically huchange pale mgeni hasa mtoto mdogo (Not neccessarily mdogo saana) watu hurudi katika hali zao.. Hao ulotolea mganao wamevuka mpaka Aisee... tena watoto watakua disturbed mpaka waje waelewe ni badae saaaana...
Kama huyu amina mapepe lolYah
Unajua majina mengine yanachafua image yako kwa watu wanaokuheshimu.
Ni mbaya sana hasa inapotokea wanasahau kabisa jina lako halisi na wanakujua kwa jina la kukuchafua kama huyo mzee
CPU we unajuaje jamani au unapigaga chabo? au ni wewe unakula vya watu?Kuna ofisi moja ya Umma hapa Tanzania, tena ipo Dar.
Kuna jamaa mmoja huwa anamalizana na mdada mmoja ofisini hasa mida ya weekend. Tena huyo mdada kaolewa.
Yaani inakuwa hivi: Siku za weekend huyo mdada hatakiwi kwenda kazin maana ni mapumziko kwake, lakin jamaa weekend hutakiwa kuja.
Wanamalizana kwenye ofisi ya jamaa. Mdada akija weekend ujue kajileta kwa shughuli na jamaa. Mdada anaenda toilet anatoa ch*pi. Then anatoka kuingia ofisin kwa jamaa kama vile anampelekea mafaili. Kufika huko anainama na kushika meza, anapandisha mguu mmoja juu, mwingine kwa ajiri ya kusimama. Then anajifunua jamaa anamaliza kazi dk 15 mpaka 30
Duuuuu shukuru sana kuitwa hivoboss
my all time favourite name........\
everywhere i go
Kuna mdada mmoja anaitwa Amina yeye ni salonist, kila siku tukienda pale tunahudumiwa yuko mapepe fulani hivi, kwa hiyo tukawa tunamwita Amina mapepe, ila yeye hajui kabisa, kuna mama angu mdogo alikuwa ana mtoto wake mdogo tunaendaga nae hapo salon, kuna siku tumefika pale salon kale katoto ka miaka minne kakamwambi kwa saiti, "AMINA MAPEPE MAMBO" loooooo tulionaje aibuu, yaani kuanzia siku hiyo tukahama na salon yaani ukimya ulitanda na amina hakuitikia kabisa
Kuna ofisi moja ya Umma hapa Tanzania, tena ipo Dar.
Kuna jamaa mmoja huwa anamalizana na mdada mmoja ofisini hasa mida ya weekend. Tena huyo mdada kaolewa.
Yaani inakuwa hivi: Siku za weekend huyo mdada hatakiwi kwenda kazin maana ni mapumziko kwake, lakin jamaa weekend hutakiwa kuja.
Wanamalizana kwenye ofisi ya jamaa. Mdada akija weekend ujue kajileta kwa shughuli na jamaa. Mdada anaenda toilet anatoa ch*pi. Then anatoka kuingia ofisin kwa jamaa kama vile anampelekea mafaili. Kufika huko anainama na kushika meza, anapandisha mguu mmoja juu, mwingine kwa ajiri ya kusimama. Then anajifunua jamaa anamaliza kazi dk 15 mpaka 30
Anaongea sana kila kitu anajua yeye, na kila mtu wa hapa mjini yeye anamjua saaana, nyumbani tukawa tunaambiana wakati tukienda hapo,mi naenda kwa amina mapepe nahisi mtoto akaidakaHa ha ha ha hah
Mnahama hadi saluni??
Sasa hayo mapepe ni kwamba alikuwa anaongea sana au?
Kwa hiyo ukawa unalisanif hilo lidada likitoka humo ofisini, macho yamemuivaaaa ndoa hiziHahhah
Sisi wanaume hatufichani mambo, hata kama ni nje ya ndoa.
kuna jamaa alikuwa hajui kuwa anaitwa kiuno
kwa sababu kiuno chake kiko juu juu hivi...
siku moja mbele yake
watu wamejisahau......
ishu ilianza kwa kiuno kumwambia mdada mmoja amwambie mdada mwingine anamwita
wakasahau,
walipokutana mbele yake,ndo wakajisahau kabisa
wakaulizana mbele yake..
wewe si nilikwambia kiuno anakuita??????????
jamaa akauliza kiuno ndo nani?????????lol
Babu umegundua hilo eeWe dogo,
Hii tabia ya kupiga chabo umeianza lini?