realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Copy&paste👇umakini unahitajika sana.
Nyie mwenzenu 😭😭😭😭😭😭natamani kulia mimi yamenikuta
Mwenzenu nipo kwenye mahusiano na kaka mmoja mkoa fulani. Yeye ni mfanya biashara mkubwa tu wa mbao Malawi kuleta Tanzania
Miaka mingi nipo nae sijawahi kuona maajabu Kama niliyoyaona jana. Nyie mwenzenu naomba mniombee nahisi kufa
Alinipigia simu kabla sijaonana nae akaniambia hizo shanga ulizonazo sizipendi tafuta shanga nyeupe zitakupendeza mie tena nikakubali.
Akasema kesho tuonane nimekumis ndo Jana sasa.
Nikajiandaa mapema akaja kunichukua home, tuaondoka mbaka mjini
Akaniuliza shanga wanauzaje leo ni
nataka uwe umevaa shanga nyeupe nikasema sawa.
Nikamwambia bei yake akanipa nikanunue pale tulipo kuwepo ni maeneo hayo hayo Kuna wauzaji wa hizo shanga
Basi tukaenjoy weee kama mida ya saa 5 ndo tukarudi kwake kulala. Basi tulifika me nikataka kuoga ndo nilale akanikatalia akasema vua hizo shanga zako
Vaa hizi nyeupe mie chap nikavaa anazotaka, Nikapanda kitandani nikalala naye akalala
Tukazagamuana tulivyomaliza tu akaniambia vua shanga hizo nipe
Hee nikashtuka tena kunakuzitoa kumbe
Nikagoma akawa mkali ghafla basi nikazitoa nikampa akaweka chini ya mto wa kulalia🙆🙆🙆🙆
Tukalala mpaka asubuhi mida ya saa 12 nikaamka Ili niondoke niende kwangu nijiandae kwenda kazin
Na yeye akaamka muda ule ule nikasema ngoja niziibe shanga niondoke nazo hazikuwepo pale na yeye alivyoamka hakuzishika kabisa na kwasababu alikuwa mtupu hata kusema ameamka kahamisha sio kweli.
Nikamuuliza kwann shanga umeniambia nikupe tena na ulininunulia mwenyewe akasema we tulia sio Kila kitu ujue, nikifanikiwa na wewe umefanikiwa nyie mwenzenu nimeshinda leo kazini Sina Raha najitahidi kumuuliza hasemi ukweli
Anazunguka zunguka tu
Tena asubuhi alinipeleka yeye mwenyewe nyumbani akanisubir nijiandae akanipeleka kazin
Imefika saa saba kaniuliza unakula Nini nikuletee nikamwambia chochote
Akasema sawa,kweli akaleta chakula sijala mpaka sasa nakiogopa.
ana Nia gani huyu simuelewi.
Nyie mwenzenu 😭😭😭😭😭😭natamani kulia mimi yamenikuta
Mwenzenu nipo kwenye mahusiano na kaka mmoja mkoa fulani. Yeye ni mfanya biashara mkubwa tu wa mbao Malawi kuleta Tanzania
Miaka mingi nipo nae sijawahi kuona maajabu Kama niliyoyaona jana. Nyie mwenzenu naomba mniombee nahisi kufa
Alinipigia simu kabla sijaonana nae akaniambia hizo shanga ulizonazo sizipendi tafuta shanga nyeupe zitakupendeza mie tena nikakubali.
Akasema kesho tuonane nimekumis ndo Jana sasa.
Nikajiandaa mapema akaja kunichukua home, tuaondoka mbaka mjini
Akaniuliza shanga wanauzaje leo ni
nataka uwe umevaa shanga nyeupe nikasema sawa.
Nikamwambia bei yake akanipa nikanunue pale tulipo kuwepo ni maeneo hayo hayo Kuna wauzaji wa hizo shanga
Basi tukaenjoy weee kama mida ya saa 5 ndo tukarudi kwake kulala. Basi tulifika me nikataka kuoga ndo nilale akanikatalia akasema vua hizo shanga zako
Vaa hizi nyeupe mie chap nikavaa anazotaka, Nikapanda kitandani nikalala naye akalala
Tukazagamuana tulivyomaliza tu akaniambia vua shanga hizo nipe
Hee nikashtuka tena kunakuzitoa kumbe
Nikagoma akawa mkali ghafla basi nikazitoa nikampa akaweka chini ya mto wa kulalia🙆🙆🙆🙆
Tukalala mpaka asubuhi mida ya saa 12 nikaamka Ili niondoke niende kwangu nijiandae kwenda kazin
Na yeye akaamka muda ule ule nikasema ngoja niziibe shanga niondoke nazo hazikuwepo pale na yeye alivyoamka hakuzishika kabisa na kwasababu alikuwa mtupu hata kusema ameamka kahamisha sio kweli.
Nikamuuliza kwann shanga umeniambia nikupe tena na ulininunulia mwenyewe akasema we tulia sio Kila kitu ujue, nikifanikiwa na wewe umefanikiwa nyie mwenzenu nimeshinda leo kazini Sina Raha najitahidi kumuuliza hasemi ukweli
Anazunguka zunguka tu
Tena asubuhi alinipeleka yeye mwenyewe nyumbani akanisubir nijiandae akanipeleka kazin
Imefika saa saba kaniuliza unakula Nini nikuletee nikamwambia chochote
Akasema sawa,kweli akaleta chakula sijala mpaka sasa nakiogopa.
ana Nia gani huyu simuelewi.