Mahusiano ni maisha: Usibebe mizigo inayokuzidi akili yako

Aisee huyu kiongozi ni kilaza kwani mizigo inalinganishwa na akili au na nguvu..akili inanilinganishwa na changamoto angesema usibebe changamoto zinazokuzidi akili hapo ningemuelewa.
Kwa ujumla sijamuelewa...

kwa hiyo mizgo kama magunia,mabegi n.k mtu anabebeshwa kulingana na akili au na nguvu...eti hawa ni viongozi wanaotakiwa kutumia akili kutatua changamoto za maendeleo..shame
 
Katumia tafsida tu ila mizigo aliyomaanisha ndio izo izo changamoto unazosema wewe.
 
Umekurupuka kujibu bila kushirikisha akili mwisho umejidhalilisha
 
Umekurupuka kujibu bila kushirikisha akili mwisho umejidhalilisha
Kajidhalilisha kiongozi wako sio mimi ila kwasababu akili yako ni ndogo kama yake si kushangai..watanzania wengi wana akili ndogo...hawana uwezo hata wa kureason vitu vidogo..ndio masna wanaongozwa na vilaza
 
umeielewa mizigo anayoizungumzia? yaani usibebe mambo yasiyokuhusu
 
Changamoto ni sehemu ya maisha mafanikio yanakuja baada ya kuweza kukabiliana na changamoto mbalimbali
 
we nae!
Kwahyo ukisikia mizigo unajua moja kwa moja ni magunia?! [emoji23][emoji23]
 
we nae!
Kwahyo ukisikia mizigo unajua moja kwa moja ni magunia?! [emoji23][emoji23]
Kwani kuna tafsiri nyingine ya mizigo kwenye kamusi tofauti na tafsiri yake ilivyo...kumbuka huyo ni kiongozi tena waziri na anawakilisha nchi kwenye comment au hotuba yake,maana comment yake inaanda mbali..hivi kwa hizi nchi au jamii ambazo wanajifuza kiswahili hawawezi kuelewa comment eti ya usibebe mzigo unaokuzidi akili yako...kwani akili imeanza kubeba mizigo tokea lini?
 
hahah
 
Shalom,

Mishaa mishangazi na maisha matamu, amua utakavyo mapenzi ni maisha kupanga ni kuchagua Usibebe mizigo inayokuzidi akili yako.

Tuendelee na maisha matamu

Wadiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…