Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?
Siku hiyo hiyo Diamond ametoa ulichezwa mara mbili, binafsi sijawahi kuusikia sehemu yoyote zaidi ya Clouds mara mbili, na TBC Taifa mara moja tena kwenye daladalaUrafiki utabaki pale pale kwasababu kuna biashara diamond unafanya na Kusaga!
ila huo wimbo sidhani kama utachezwa.....
Ndio mimi binamu, umejuajeMy kka Warumi baada ya kula ban umekuja na galton[emoji23] [emoji23]
Umenishukia nini? Kwani nimeiba? Ebu nitueWarumi tumekushtukia.
Nilijua watamshit, ila siku hizi hawamfagilii kivilee coz ya makondaSiku hiyo hiyo Diamond ametoa ulichezwa mara mbili, binafsi sijawahi kuusikia sehemu yoyote zaidi ya Clouds mara mbili, na TBC Taifa mara moja tena kwenye daladala
- Jamani alipofika Diamond ni biashara tosha na hasuswi, na ndio maana hata show zao nyingi anakataa
Hatumiki tena, hata fiesta zao huwa anakachaNilijua watamshit, ila siku hizi hawamfagilii kivilee coz ya makonda
Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?
Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?