Cathylin 2002
Member
- Jun 2, 2024
- 31
- 128
Habari wanna jm
Leo napenda nionge na vinaja 20s mpaka 35 ni kwa ufupi
Moja ya mambo muhimu ni mahusiano je mwanamke gan sio wa kuwa na mahusiano nae kabsa ?
✓kama hawez kumud gharama za kusuka na anapenda kusuka 3x a month
✓Mwanamke muomba pesa za kula
✓kijana usiwe na mwanamke amepanga Hana Kaz
✓mwanamke asie na naul ya kuja ulipo
✓mwanamke Alie soma sana sio mkee
Mkiweza mabinti wa kiislamu ni Bora San kitabia hata visions Yao ya ndoa ni open San kuliko sis wangine , Just imagine unaoa binti ambae chuo kikubwa alicho soma ni Dini tu
Mahusiano ya USA
Yapo straight forward kwamb mnaamua yaweje mkienda kula kila mtu alipe
Kuna casual relationship kila mtu Hana habari na mwenzie lkn mna meet sometimes
Kiufupi tu
.
Good night
Leo napenda nionge na vinaja 20s mpaka 35 ni kwa ufupi
Moja ya mambo muhimu ni mahusiano je mwanamke gan sio wa kuwa na mahusiano nae kabsa ?
✓kama hawez kumud gharama za kusuka na anapenda kusuka 3x a month
✓Mwanamke muomba pesa za kula
✓kijana usiwe na mwanamke amepanga Hana Kaz
✓mwanamke asie na naul ya kuja ulipo
✓mwanamke Alie soma sana sio mkee
Mkiweza mabinti wa kiislamu ni Bora San kitabia hata visions Yao ya ndoa ni open San kuliko sis wangine , Just imagine unaoa binti ambae chuo kikubwa alicho soma ni Dini tu
Mahusiano ya USA
Yapo straight forward kwamb mnaamua yaweje mkienda kula kila mtu alipe
Kuna casual relationship kila mtu Hana habari na mwenzie lkn mna meet sometimes
Kiufupi tu
.
Good night