KALOKAGATHOS
Member
- Jul 9, 2013
- 38
- 6
Katika shule moja huko ngara kagera mwalimu wa kike alimpenda mwanafunzi wake,yule jamaa(mwanafunzi) akagoma kumkubalia kisa mwalimu alikua kicheche,anaruka na masoja wa kambi ya pembezoni mwa shule,mwalimu akatafuta visa yule mwanafunzi akafukuzwa,katika kuandika barua ya kukiri kosa akaandika ukweli wa mambo.lakini bado akapewa adhabu ya kuchimba kisiki.baada ya kuona matukio yanazidi akamkubalia na hatimae akampachika mwalimu wake mimba.ukiachilia mbali mambo ya huko ngara,kuna shule moja ipo katikati ya jiji la mbeya,wanafunzi wa kike wa shule hii wanatabia ya kuwatongoza walimu,ukimkataa anakusemea kwa mkuu wa shule ili akuchafulie jina,ukimkubalia anatangaza darasani halafu ukiingia kufundisha wanakuamkia kwa kusema:"goodmorning shem?"...ukianza na mmoja anakuja na mwingine na wa tatu hadi wa nne pia.hali si shwari shuleni huko,ndoa za kidigitali zimeshamiri kila kona,ukibofya tu,unalo.mwalimu akimpa adhabu mwanafunzi ni kosa,eti mwanafunzi anajileta kwako,we mwalimu uko single,anakuja na kanga moja....