Mahusiano ya kimapenzi yananitesa

Mahusiano ya kimapenzi yananitesa

mj909

Member
Joined
Aug 1, 2024
Posts
86
Reaction score
204
Jamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.

Ikaendaa yule jamaa akakaa muda mrefu Sana bila kutangaza uchumba, yule mwanamke akakata tamaa ndio tukakutana natukaanzisha mahusiano tukaanza kupendana Sana, sasa mwezi uliopita jamaa ameibuka tena kaenda kwa wazazi na kwa mchungaji mwanamke amejaribu kukataa lakini kutokana na wazazi wake niwatata sana ameshindwa kukataa maana anadai wanamfosi kuolewa namtu ambae amesha mtoa moyoni wakati moyo wake upo kwangu, na uchumba unatangazwa jumapili hii.

Ameniambia anatangaza uchumba lakini kuolewa hataolewa yupo tayari kutoroka na mimi,, sasa nimejikuta napitia maumivu makali Sana maana nampenda sana naombeni ushauri wadau
 
Jamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.

Ikaendaa yule jamaa akakaa muda mrefu Sana bila kutangaza uchumba, yule mwanamke akakata tamaa ndio tukakutana natukaanzisha mahusiano tukaanza kupendana Sana, sasa mwezi uliopita jamaa ameibuka tena kaenda kwa wazazi na kwa mchungaji mwanamke amejaribu kukataa lakini kutokana na wazazi wake niwatata sana ameshindwa kukataa maana anadai wanamfosi kuolewa namtu ambae amesha mtoa moyoni wakati moyo wake upo kwangu, na uchumba unatangazwa jumapili hii.

Ameniambia anatangaza uchumba lakini kuolewa hataolewa yupo tayari kutoroka na mimi,, sasa nimejikuta napitia maumivu makali Sana maana nampenda sana naombeni ushauri wadau
Kwamba unampenda sana hilo unajua wewe. Kwamba anakupenda sana wewe hilo hujui. Anayejua ni yeye na Muumba wake. Zama zetu si kama zama za zamani. Kulazimishwa kuolewa au kuoa siku hizi si tena jambo linalojitokeza mara kwa mara. Kama ameamua kukubali atangaze uchumba angali yupamoja na wewe basi ujue wewe haumo moyoni mwake. Na si kisingizio cha kulazimishwa na wazazi. Na kabla ya yote, alishawahi kukutambulisha hata kwa wazazi wake au ndugu zake?

Ningekushauri ukae na kujiuliza mara mbili. Utajidanganya mwenyewe...... Tafuta akufaae.
 
Jamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.

Ikaendaa yule jamaa akakaa muda mrefu Sana bila kutangaza uchumba, yule mwanamke akakata tamaa ndio tukakutana natukaanzisha mahusiano tukaanza kupendana Sana, sasa mwezi uliopita jamaa ameibuka tena kaenda kwa wazazi na kwa mchungaji mwanamke amejaribu kukataa lakini kutokana na wazazi wake niwatata sana ameshindwa kukataa maana anadai wanamfosi kuolewa namtu ambae amesha mtoa moyoni wakati moyo wake upo kwangu, na uchumba unatangazwa jumapili hii.

Ameniambia anatangaza uchumba lakini kuolewa hataolewa yupo tayari kutoroka na mimi,, sasa nimejikuta napitia maumivu makali Sana maana nampenda sana naombeni ushauri wadau
Daaaah!!!! Uko wapi.....
 
Kwamba unampenda sana hilo unajua wewe. Kwamba anakupenda sana wewe hilo hujui. Anayejua ni yeye na Muumba wake. Zama zetu si kama zama za zamani. Kulazimishwa kuolewa au kuoa siku hizi si tena jambo linalojitokeza mara kwa mara. Kama ameamua kukubali atangaze uchumba angali yupamoja na wewe basi ujue wewe haumo moyoni mwake. Na si kisingizio cha kulazimishwa na wazazi. Na kabla ya yote, alishawahi kukutambulisha hata kwa wazazi wake au ndugu zake?

Ningekushauri ukae na kujiuliza mara mbili. Utajidanganya mwenyewe...... Tafuta akufaae.
Aisee Kuna watu Wana busara mp
aka zinamwagika
Point ni hii hapa bro Wala usiangaike kwingine
Kwamba unampenda sana hilo unajua wewe. Kwamba anakupenda sana wewe hilo hujui. Anayejua ni yeye na Muumba wake. Zama zetu si kama zama za zamani. Kulazimishwa kuolewa au kuoa siku hizi si tena jambo linalojitokeza mara kwa mara. Kama ameamua kukubali atangaze uchumba angali yupamoja na wewe basi ujue wewe haumo moyoni mwake. Na si kisingizio cha kulazimishwa na wazazi. Na kabla ya yote, alishawahi kukutambulisha hata kwa wazazi wake au ndugu zake?

Ningekushauri ukae na kujiuliza mara mbili. Utajidanganya mwenyewe...... Tafuta akufaae.
Aisee Kuna watu Wana busara mpaka zinamwagika
Point ni hii bro Wala usiangaike kwingine
 
Mwanamke hajalazimishwa na wazazi mzee ila anampenda huyo jamaa ila hawezi kukutamkia moja kwa moja pengine anaogopa kukupa jibu litakalo kuumiza.

Ikishafika hatua hiyo cha kwanza fungua moyo na usilazimishe chochote kinachotakiwa ni kumwambia achague moja yupo na wewe au anaenda kwa jamaa na jibu lolote ulipokee kiroho safi akienda kwa mwana mtakie maisha mema na uendelee na maisha yako kiroho safi.

Epuka sana kujidhalilisha na kujitoa thamani kwa kulazimisha mtu akuone bora wakati yuko mtu bora kwake zaidi yako.
 
Jamani naombeni ushauri, kuna mwanamke nampenda sana nae ananipenda sana tuliahidiana kuoana., Sasa kuna changamoto imejitokeza tena kubwa sana kumbe kabla yangu, aliunganishiwaga mwanaume mwingine na wazazi wake, nayeye kwakua alikua hana mtu mwingine alikubali.

Ikaendaa yule jamaa akakaa muda mrefu Sana bila kutangaza uchumba, yule mwanamke akakata tamaa ndio tukakutana natukaanzisha mahusiano tukaanza kupendana Sana, sasa mwezi uliopita jamaa ameibuka tena kaenda kwa wazazi na kwa mchungaji mwanamke amejaribu kukataa lakini kutokana na wazazi wake niwatata sana ameshindwa kukataa maana anadai wanamfosi kuolewa namtu ambae amesha mtoa moyoni wakati moyo wake upo kwangu, na uchumba unatangazwa jumapili hii.

Ameniambia anatangaza uchumba lakini kuolewa hataolewa yupo tayari kutoroka na mimi,, sasa nimejikuta napitia maumivu makali Sana maana nampenda sana naombeni ushauri wadau
Kakuona fala sana huyo demu.

Eti atatoroka na wewe!

Nakuhakikishia hawezi kutoroka na wewe na ataolewa na huyo jamaa huku wewe bwege mtozeni ukibaki kushangaashangaa.

Na akitoroka na wewe rudi uniite mbwa.
 
Mwanamke hajalazimishwa na wazazi mzee ila anampenda huyo jamaa ila hawezi kukutamkia moja kwa moja pengine anaogopa kukupa jibu litakalo kuumiza.

Ikishafika hatua hiyo cha kwanza fungua moyo na usilazimishe chochote kinachotakiwa ni kumwambia achague moja yupo na wewe au anaenda kwa jamaa na jibu lolote ulipokee kiroho safi akienda kwa mwana mtakie maisha mema na uendelee na maisha yako kiroho safi.

Epuka sana kujidhalilisha na kujitoa thamani kwa kulazimisha mtu akuone bora wakati yuko mtu bora kwake zaidi yako.
Siku nikija kulia jf kisa mapenzi...kiongozi naomba ushauri wako uwepo kwenye comment
 
Back
Top Bottom