Mahusiano ya kingono yanavyoanza kati ya Mwalimu na Mwanafunzi

Kiukweli nimefundisha sec miaka 6 sijawahi shika hata chochote walichonacho na watoto ni wazuri wanataka wenyewe wanakutafuta hadi kwenye simu kuna mmoja alikuwa mrembo kwelikwli alifumwa na matron akiwa na kimemo chenye kuhitaji mambo flani kwangu.
Ilileta Shida sana kwake, Sasa añapiga kazi ikulu tukaonanà siku moja nikamkumbusha akasema bado anahisi smell of love nikamwambia wewe bado mwanafunzi wangu alishangaa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…