financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ulikutana na nini hadi tuanze kukupa maji Cuteππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maake kwanza nicheke!!!
Nipeni maji ninywe kwanza, hebu nisikitike kidogo
Daah sijui na mimi nikafungue thread ya kutafuta mke jukwaa la love connect.Me tulikutana marafiki.com enzi hizo sasahivi ni mume wa ndoa 10years, kwa kweli sijawahi juta kukutana na huyu kaka, it was fate. Japo halikuwa lengo langu kuwa na mtu kutoka kwenye mtandao na nilikuaga naponda sana hilo swala jamani maisha hayaπ, kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto π na kwenye profile yangu niliandika nina mahusiano so nisisumbuliwe, na nilikuaga sijibu msg za dm wala sizisomi nikifungua nafuta zooote. Sasa kuna jina lilikuwa linajirudia sana, yani kila nikisema nifungie kufuta msg lazma nione msg yenye hilo jina, siku moja nikaamua kufungua msg yake, nikakuta salam tu, nikaijibu then nikafuta, sasa ikawa kila nikifungua lazma nikute kanisalimia, na mimi najibu salam basi. Siku moja akaniomba namba ya simu nikamwambia sina simu, alijua nimemdanganya ila hakulazimisha tukaendelea na salam tu dm, kuna kipindi akapotea i ddnt bother kumtafuta nikamsahau. Akaja akaibuka tena, akaniomba tena namba nikakataa tena, akaomba atleast email address, hiyo nikampa, enzi zile za yahoo messenger, so tukawa tunawasiliana huko japo si sana, mana hakuwa muongeaji sana, tukaenda hivyo for almost a year, akaniomba tena namba ya simu akasema hii ni mara ya mwisho kama kweli sina simu yuko tayari kununulia ila kama namnyima tu namba basi hatanisumbua tena kuhusu hilo, baada ya siku 2 nikampa namba, mawasiliano yetu yakaanzia hapo,it took me 6 months kukubali kuonana nae, mana nilikuaga muoga sana. But that day nilipokutana nae, katika kuongea akaniambia i will marry you next year tarehe fulani na mwezi fulani, i thout he was joking. But he wasnt joking, kweli mwaka uliofuatia tarehe ile ile na mwezi ule ule aliosema tukafunga ndoa Takatifu pale St. Joseph, and it has been an amaizing 10 years of marriage. Bcz he is everything i ever wanted, huwa nasema ni Mungu tu sio hivi hivi.
[emoji38]acha wivuNakataa rufaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baba bulubendi kuwa seriousπNlidate jini
Likanipeleka kwao
Nkapewa mahela
Nkalicheat jini
Kilichotokea msiulize
Mambo myBaba bulubendi kuwa serious[emoji3]
Teh teh teeeeh!!!Nilikuwa nimeenda kufanya IELTS Test miaka hiyo nipo chuo, invigilator wangu alikuwa mdada hivi, kazuri sana kalikuwa. Kalikuwa na badge na jina lake, nikajisemea huyu kwa hapa siwezi pata kitu, ila nakariri jina. Nilivyomaliza nikaenda zangu ghetto nikaingia online nikasearch jina, mara paap jina na picha kama nilivyomuona...
....Kilichofuata...it was my first ever online hookup...and ever since ilikuwa mwendo wa online tu!!π
Safi tu! Habari ya weye?Mambo my
Sasa Miss Just Nana huyo Mshamba hachekwi ungemjua usingemsukumzia huu mzigo π€£π€£π€£Mshamba _hachekwi yupo single, komaa pm mama
Worry out cutie..Unitag bebe
Bado uko nae?Ohhhh , hopefully utapata hata hapa my dear, sasa kwanini unaomba buku la nauli[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]....mi sikuwahi omba hela alijiongezaga tuuu, hata hivyo mi mzito kuomba hela aseeee, unipe darasa
[emoji28][emoji28][emoji28]hebu sema[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maake kwanza nicheke!!!
Nipeni maji ninywe kwanza, hebu nisikitike kidogo
[emoji28][emoji28][emoji28]hebu sema
Umenichekesha sana Abigail Nabal ππππNgoja waje..sie wengine tunakutanaga vituo vya daladala tunakimbiwa[emoji38][emoji38]
Ukiomba buku tu ya salio limekuishia unashangaa uko blocked[emoji38]
NB:situmii mitandao yoyote wala sijipost na sijawahi hayo mahusiano.ndo nasubiri Jf kama itanibariki haya
Kama baba Paula huyu wanafanana πππ