Mahusiano ya mtandaoni

Unaniua mbavu zangu Cute😀😀😀
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] karonga
Ko kuombwa vocha kimekuuma??? Basi pole best
Kwahiyo hizo pesa za kwenye picha unazo? Unazimiliki au unataka kunirusha roho?

Maana umeongea kwa uchungu sana
Ha ha Haa a mnigeria kanifurahishaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] karonga
Ko kuombwa vocha kimekuuma??? Basi pole best
Kwahiyo hizo pesa za kwenye picha unazo? Unazimiliki au unataka kunirusha roho?

Maana umeongea kwa uchungu sana
Njoo uchukue pesaaa maburungutu hayo[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hii ikaishia hapa [emoji2][emoji2]
 
Sina cha kusimulia hapa kiviile ila ambae nilikutana nae mtadaoni hope yupo humu.....may be....mmmh he was super tho hatukufikia malengo sina baya nae.

Ooh btw am done with african men niliwapendaga ila bahati mbaya hawakunipenda inasikitisha.......😒😒😒😒limoyo limegeuka halirudi nyuma.

Mmmh hapa nawaza itakuwaje? uwiiiiiiii kiwewee!!! siku sijui ndo nitajiandaa mwezi mzima?.............nahisi nitahangaika kama kuku anaetaka kutaga.....mmmh!!!

Kukutana na mtu kwa mara ya kwanza sio mchezo na moyo unaendaga mbio.
 
Enzi hakuna Whatsapp hakuna kitu kuna kabinti kakajichanganya kakanipgia simu kumbe wrong number, kabinti kana sauti nzuri balaa, jina kama kijukuu cha ntume. Mimi kichwani nshajijengea picha. Tukaanzia hapo communucation, nikaja kutana nako. Dah yani sauti na kalivyo ni sawa na na distance ya dunia na pluto
 
Hongera sana🥰👏👏👏
 
Internet is the best place to find a really amazing Partner/a dream job/ a great opportunities/a great place to add network/ a human capital etc 😊

It depends on how you set your Profile..I believe Love is everywhere and sometimes comes when you aren't looking for it😊
 
Woooow🥰
 
sijui nianze na yupi ila nikikumbuka kuna mtu na dada yake walishanuniana mwezi mzima mpaka wakasuluhishwa kwao kisa mimi huwa nacheka sana, dada mtu alikua ananililia sana kwenye simu na hadi leo hii sijawai kuonana nae. nilifanikiwa kuonana na kudate mdogo mtu japo wakwanza kufahamiana nae alikuwa dada mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…