Dah inaonekn umepitia life lenye experiences tofaut tofaut kuuza uji kulala chini anyway kweli dunia mapito muhimu kupambana
Daah, marafiki.com ...??? Na enzi za kuchata Yahoo messenger... !Me tulikutana marafiki.com enzi hizo sasahivi ni mume wa ndoa 10years, kwa kweli sijawahi juta kukutana na huyu kaka, it was fate. Japo halikuwa lengo langu kuwa na mtu kutoka kwenye mtandao na nilikuaga naponda sana hilo swala jamani maisha haya😛, kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto 😀 na kwenye profile yangu niliandika nina mahusiano so nisisumbuliwe, na nilikuaga sijibu msg za dm wala sizisomi nikifungua nafuta zooote. Sasa kuna jina lilikuwa linajirudia sana, yani kila nikisema nifungie kufuta msg lazma nione msg yenye hilo jina, siku moja nikaamua kufungua msg yake, nikakuta salam tu, nikaijibu then nikafuta, sasa ikawa kila nikifungua lazma nikute kanisalimia, na mimi najibu salam basi. Siku moja akaniomba namba ya simu nikamwambia sina simu, alijua nimemdanganya ila hakulazimisha tukaendelea na salam tu dm, kuna kipindi akapotea i ddnt bother kumtafuta nikamsahau. Akaja akaibuka tena, akaniomba tena namba nikakataa tena, akaomba atleast email address, hiyo nikampa, enzi zile za yahoo messenger, so tukawa tunawasiliana huko japo si sana, mana hakuwa muongeaji sana, tukaenda hivyo for almost a year, akaniomba tena namba ya simu akasema hii ni mara ya mwisho kama kweli sina simu yuko tayari kununulia ila kama namnyima tu namba basi hatanisumbua tena kuhusu hilo, baada ya siku 2 nikampa namba, mawasiliano yetu yakaanzia hapo,it took me 6 months kukubali kuonana nae, mana nilikuaga muoga sana. But that day nilipokutana nae, katika kuongea akaniambia i will marry you next year tarehe fulani na mwezi fulani, i thout he was joking. But he wasnt joking, kweli mwaka uliofuatia tarehe ile ile na mwezi ule ule aliosema tukafunga ndoa Takatifu pale St. Joseph, and it has been an amaizing 10 years of marriage. Bcz he is everything i ever wanted, huwa nasema ni Mungu tu sio hivi hivi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] vile visendo miyeyushoo sanaa, nkionaga dem kavivaa namwona kituko kwelWala tusiende mbali mama.... Me nipo kwaajili yako. Ila tu angalizo siku ya meeting usivae vile visendo vya manyoya
[emoji1787][emoji1787] oyaaa yupi uyo tenaa, kuna wamba makatili aseh[emoji1787]Yule aliyeachwa guest na sh 750 naomba usichangie please ule mjadala ulifungwaaaaa!!!!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kadhia watt wa kike wanakutana nayo sana, hv hao wahindi huwa ni punguani au nyege zimewazidiaNakutana na wahindi wanaopiga video call na kuonyesha mijulusi yao tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wasalam wapendwa,
Jana wakati nalala kuna moment ilinijia kichwani, nikajikuta nacheka kwa nguvu sana, miaka kadhaa nyuma nilipata mpenzi kupitia mtandao, ulikua ni Instagram.
Niwe tu muwazi sikua serious na hayo mahusiano ila nilitaka tu kufahamu inakuajekuaje ,mi ni mtu naependa kujaribu vitu kadha wa kadha, wale mama nisipitwe na jambo, ili mradi halidhuru afya, sipendagi kusimuliwa kwakweli.
Basi bhana, katika kupost tupicha twangu kadhaa, kuna mwamba akawa analike karibia kila post, akawa amenifollow pia, offcourse he was totally stranger, never knew him before, we just met on Instagram.
Days go on, urafiki ukakua hadi nisipoingia insta akawa anaacha text DM ,like 'are u good' , alot of halla and so on.
Ikafika point akaomba namba just to check on me kwa time sipo online, na kupata kufahamiana zaidi plus kuweza kuchart watsaap, nikaona sio mbaya nikampa namba baada ya kuangalia picha zake na kufatilia vitu anapost, watu anakua nao na mambo kama hizo.
Basi bhana maukaribu yakaongezeka, kuchekiana kwa sana, mambo yakahamia watsaap sasa, jamaa anakomaa kinoma noma, miamala ikaanza kutumwa (mwanaume akifika hiki kipengele nakuaga nishampitisha kwa asilimia karibia 85), ila kumbuka sijaonana na jamaa na hana papara na hilo.
By that time jamaa alikua anafanya masters hapo chuo UDSM, nami nilikua na mishe zangu za hapa na pale hapa mjini lakini jamaa hakua na papara ya kuonana kabisa, alinambia yupo bize kwaio tuwasiliane tuuuu, kwa sababu miamala ilikua inasoma hakuna kitu ilikua mbaya.
After few good months, jamaa akanambia ana feel like ni muda muafaka wa kuonana, nilipatwa na kiraruraru balaa, ile siku nilipata usingizi kwa taaabu sana, kile kiraruraru ni zaidi ya kusubiria Necta Exams, ni zaidi ya kusubiria interview ya kazi umeisotea sana.
Hatimaye kukakucha bhana, meeting point ilikua mlimani city, alinambia tuonane saa nane mchana, maana ni muislam alitaka aingie masjid then anione, ilikua ijumaa nakumbuka kabisa.
Kwa sababu niliona ni open space nikasema sio mbaya acha nijilipue, nikahakikisha mependeza, sikwenda mbali sana na vile natokelezeaga kwa pic za insta, maana kama alipenda zile picha sidhani kama alihitaji niibuke na baibui, so nikawa tu normal ila hofu kama yote, itakuaje? asiponipenda je? Na vitu kama hizo.
Nisiwachoshe sana [emoji17][emoji17][emoji17], the meeting was successful alhamdulilah, alikua ni mzuri kuliko pic za insta, damn his camera[emoji17][emoji17][emoji17]...confidence kama ikakata hivi, nadhani aligundua hilo, akajitahidi kuniweka sawa, na kila kitu ikawa poa.
Itoshe tu kusema he was one of my best lovers, one of the best moments nilipata kwa relationships, kila tukipata wasaa ananikumbushaga 'ulijua unakuja kukutana na mtu wa aina gani mama[emoji28][emoji28][emoji28], ulikua kama umepanick hivi kuniona[emoji28][emoji28][emoji28]...'
Hebu tupe nawe experience yako ya kudate mtandaoni, mlifanikiwa kuonana, ilikuaje first meeting, was it fun or disappointing? Bado upo na huyo kiumbe?
Mine was marvellous kwaiyo ni kitu ambayo sijawahi juta kujaribu.
Wasalaaam.
InaendeleaMNIGERIA
Here we go [emoji3059].Basi hekaheka za dating app zinaendelea siku moja pitapita zangu hapa na pale nikamatch na mnigeria huyo picha alikua mtu wa maana bonge la bwana kala kaunda sut nini hapo magari makali simu kali we nikasema mambo yangu haya hapa pesa ipo Ntaomba tu ngoja nimpee time
basi bwana nikamacth na myoruba tukachat tukaamia watsapp bas story za hapa na pale nin na mim binasfi huwa sidili na wanaoanza na neno hookup ninatype yangu naitaka wakaka wastarabu nikitupa jiwe lzima limpate najifanya malkia sina shida kumbe [emoji1787][emoji1787]
Basi katika kuchat na myoruba akanisihi sana niende kwake kwakua hakutangaza ngono maana yake ni just meeting tule na kupiga story
Shoga enu sasa nikavaa verewere nikapendeza nikarzquest bolt huyo mpka upanga hapo fika pale eeeh ss mnigeria huyu mbona anakaa studio apartment kama kawaida yangu aaah atajua mwenyewe mie ngoja nikamuone
Nikampigia hlw nimefika akasema panda lift mpka floor flan jamn nilipanda lift hapo kuna tuwatu twa maana nikafika juu nikamkuta mniger wangu kafungua mlango ananisybiri koridoni
mtume roho yangu jamani kumuona hivi yule baba ni anamwili mkubwa sijawahi ona live yan yeye ndo wa kwanza kumuonakwa macho ya nyama nje ya Tv
Baba ni mrefu mpana kama mpana tena yani me shoga enu ni mrefu na ninakimwili kati lkn kwa yule baba nilikua mtoto wa form 1 D sasa nilihis joto huku na mfuata the guy alikua anaguna kama waganga wanigeria wa kwenye movie like mmmmh mmmh mmh yan nikama ana apricciate mali safi imekuja
akanikalibisha ndani uwii natetemeka mpaka meno yagongana akasema areyou okay ama nizime AC yan nilikua sielewi sasa natapatapa akiguna ule mguno wake mim nastuka[emoji23]
Yule baba akaenda kukaa kwenye kiti akanigeukia akaniuliza vip hujanipenda
Nikajibu no kwann unasema hivo akasema nakuona umepoa sana mim ni mtu mzuri ty kuwa na amani dear kidogo tena akaguna mmmmmh mmmh fine girls fine girl kama chief onkwonkwo Huku ananitazama analiza umri wangu na mambo mengine
najichekesha tu nimekua mdogo namuogopa yan anamwili mkubwa hakuna aiseee sauti kubwa niliwaza nisipotilewa figo leo sjui na ilikua mara yakwanza n mwisho kuingia ndani kwa mtu maana nilizoea outdoors tu nukaona nimuulize dear honestly wew na picha ni tofauti yani your too big hahaa nakichekesha
Alcheka kicheko kikali we mim nikabinya macho sauti nzito eti kwel kwahiyo hapa me mkubwa
Nikitupa jicho mkono wake jaman kiganja ni mikon yangu mitatu mguu wake khaa yule ni gient
Basi akanipa story za hapa na pale kwanza hata nilikua sizielewi nawaza tu niombe hela nisepe zangu akadai yeye ni pasta sijui nin hapo akanifundisha kumtegemea Mungu akanipa mifano yake alimuamini Mungu na alimuona na vifungu vya biblia akanisimulia yy alikuja bongo akawekeza katilka hizi microfinace na mwisho watz kulipa ikawa mtihaani kwahiyo amefilisika mnoo
Akasema hapa nilipo nina elfu 50 tu nimepewa na rafiki angu yani hiyo kauli ndo aliharibu kabisa na mood ya story ilikata me sipendi poteza muda afu umeniita chumban kwamba uniombe kipochi manyoya na hiyo 50 yako unaleta janja janja za nyani huli kitu hapa nilimtathimin moyoni sijawahi kuliwa bure kizembe huyu mniger analeta janja huyu we ngoja
Nikawa tu humble huku nikiwaza hiyo elfu 50 tutagawana ip mimi nayy[emoji23][emoji23][emoji23] shoga enu nina tamaaa mnisamehe tu na poleni me nilivomuona nilijua tutaonana ni getlemen tupige story nimuombe tupite super market nifanye shopping maana ni mbaba si unajua wababa waelewa kumbe nae njaa tu yan ananipa story yake me mwenyewe nina magumu kibao wazazi sina naelewa basi naishi kwa akili nishalala njaa sana nishalala chini natandika nguo nishapenda sana nikatendwa,nishakataliwa nikasemewa uongo,nishakaa kwa marafiki nikafukuzwa,nishatembeza uji,nimesoma sina kazi mambo mengi nimelia sshiv nimezoea nimetoboa nisababu niliamuakuwa jasiri natumia tu akili na kujituma na Mungu nimetoboa yy ananisimulia vitu naona vidogo afu kama anaipotezea muda hata msosi haitishi
hivi huyu anasimulia shida zake tu hapa mwili mkubwa hivo anashindwa kubeba mambo kama hayo me nimsaidie nin sasa ninshida zangu kibao nawaza huku natazama guu lake la futi 7 limepauka hatari halina futa afu ananiitaje hana hela hata kama ni story kwanza sijala story sielew ye mwenyewe anatisha anatishia tu hapa
Yule baba akasimama akaja kitandani kwanza alinipa korosh zinapili pili ya dunia nikashindwa na urafi wangu akanipa juice kisha akaja kukaa kitandan pembeni yangu maana studio apertment ni chumba kimoja kina choo na sehem ya kupikia
Basi alipokaa kitanda kikalalamika kakakaka we nikainuka najichekesha eeh nilijua chadondoka hivo akacheka wala kaa tu nikashusha pumzi nikameza mate eeh huyu nimuagaje mm sitaki kukaa hapa mm
Najiyliza mbona kanifuata jamani tena huyu baba me mtoto wa binadam mwenzie anataka nini na huo mwili kama sio kuniua mimi jaman
Akasema my dear last time umefanya check up ni lin nikasema juzi shoga enu sasa [emoji23][emoji23] sijawahi hata kupima na sina mpango etu naomba tupime tena
We nikamwambia baba pima mwenyewe kama unataka kujua afya yako unipimishe na mimi kwn unataka tufanye nin kupima ni hiali tu kashasema [emoji1787][emoji1787] anavotisha mweusi hatari sauti kama radi
Nikagoma akasimama kufuata vipimo moyo uliniruka mm jaman nilipiga hesabu nikimbie nikazungusha macho naona anaviatu pea 3 kama vya tandale vya 200 ukiwa saa 10 asubuhi [emoji23][emoji23] nyie yan sikuona cha maana anachomiliki
Wakati namchunguza mara paa kaja na vipimo me nikaendelea kugoma kwamba sitaki jamn hakuongea kitu alinikamata mkono akanivuta relax akanitoboa chwaa ewii[emoji15][emoji15]
Missy Gf Just Nana
Inaendelea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kadhia watt wa kike wanakutana nayo sana, hv hao wahindi huwa ni punguani au nyege zimewazidia
Why not my dearest mmhh!!!!!!Unataka kujua nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Wachangiaji wengine msije mkatuletea stories za majini na vibwengo, nawajua watu wa JF kwa fix.
[emoji3][emoji3]Wachangiaji wengine msije mkatuletea stories za majini na vibwengo, nawajua watu wa JF kwa fix.
Hukutuma real pichaNakumbuka mwaka 2019 Nilipataga Pisi moja huko kunako Pande za whatsapp, nakumbuka nilikuwa kwenye group moja la EpL mshikaji mmoja akatuma link ya group la whatsapp linaitwa vijana na changamoto za utafutaji, basi bana nika_join hiyo movement.
Sasa mimi ni mtu vichekesho sana ila katika ulimwengu wa kweli mimi ni mpole kinoma na siyo mtu wa kuwazoea watu kirahisi.
Pisi moja ikanirukia DM inadai imekuwa addicted na convo zangu kwa group huwa zina mfanya acheke muda wote anavyozisoma , basi nikamwanbia mia nashukuru, demu akadai ni save namba yake nikamwambia baridi asigande.
katika akili yangu nikajua tu huyu ni miongoni mwa zile mbuzi za save for save so sikutilia manani.
Eee siku ya siku katika mzunguko wa dunia mwanadada akapost picha yake status, ***** mnasema pisi kunyooka ile ilikuwa reli standard gauge, mtoto kanyooka rula inamakosa, nikatupia neno lenye uhai apostle huyu hapa, kujulia hali kondoo wa Bwana.
Nikasifia sifia pale mwisho mchumba akaomba pic yangu nikampeperushia, kuiona demu akaomba some more ikaenda nyingine hewani, kumbuka picha zote na tuma ni zile camera imezoom so naonekana design mnene mzito fulani ivi.
Vikao vya ccm vikapangwa meeting point Makumbusho , mnyama nikadaka usafiri wa umma, nimeshuka kwa hizo gari za wasaka tonge nikavuta waya, nikam spot mtoto niliposimama, akanipimia akaona maji hayatoshi unga, jibu nililopewa ni NENEPA kidogo halafu ndiyo code zitaunga, nilipigwa na butwaa makonda walinishangaa, ghafla nikapigwa na njaa kwangu ikawa balaa.
Tangu siku hiyo naogopa online dating maana bado sijanenepa ndiyo kwanza KG 54[emoji23][emoji23].
WALA USIONE WIVU MPENDWA WANGU, FUNGU LAKO LIPO MUNGU HUTOA KWA NAMNA TOFAUTI TOFAUTI KWA KILA MTUDuuuh sisi wengine tutaishia kuwaonea wivu tu 😅😝😝
Hahahahhaa....jamaniiiiNakumbuka mwaka 2019 Nilipataga Pisi moja huko kunako Pande za whatsapp, nakumbuka nilikuwa kwenye group moja la EpL mshikaji mmoja akatuma link ya group la whatsapp linaitwa vijana na changamoto za utafutaji, basi bana nika_join hiyo movement.
Sasa mimi ni mtu vichekesho sana ila katika ulimwengu wa kweli mimi ni mpole kinoma na siyo mtu wa kuwazoea watu kirahisi.
Pisi moja ikanirukia DM inadai imekuwa addicted na convo zangu kwa group huwa zina mfanya acheke muda wote anavyozisoma , basi nikamwanbia mia nashukuru, demu akadai ni save namba yake nikamwambia baridi asigande.
katika akili yangu nikajua tu huyu ni miongoni mwa zile mbuzi za save for save so sikutilia manani.
Eee siku ya siku katika mzunguko wa dunia mwanadada akapost picha yake status, ***** mnasema pisi kunyooka ile ilikuwa reli standard gauge, mtoto kanyooka rula inamakosa, nikatupia neno lenye uhai apostle huyu hapa, kujulia hali kondoo wa Bwana.
Nikasifia sifia pale mwisho mchumba akaomba pic yangu nikampeperushia, kuiona demu akaomba some more ikaenda nyingine hewani, kumbuka picha zote na tuma ni zile camera imezoom so naonekana design mnene mzito fulani ivi.
Vikao vya ccm vikapangwa meeting point Makumbusho , mnyama nikadaka usafiri wa umma, nimeshuka kwa hizo gari za wasaka tonge nikavuta waya, nikam spot mtoto niliposimama, akanipimia akaona maji hayatoshi unga, jibu nililopewa ni NENEPA kidogo halafu ndiyo code zitaunga, nilipigwa na butwaa makonda walinishangaa, ghafla nikapigwa na njaa kwangu ikawa balaa.
Tangu siku hiyo naogopa online dating maana bado sijanenepa ndiyo kwanza KG 54[emoji23][emoji23].
Unaweza kuedit lakin ipo optionMeant to say tupe yako....hamchelewi kubadilisha uzi[emoji28][emoji28][emoji28]
Nawapenda sana watu wakweli1: Tulikutana watsup kwenye group la vijana la dini ilikuwa mtu akijoin unajitambulisha na kutuma picha… nakumbuka tulijoin siku moja tulipishana masaa yeye alijoin saa6 usiku mimi nikajoin asubuhi mida kama saa 3 hivi
Basi bhn nilivyotuma picha yangu kama kawaidia kwenye msafara wa mamba na kenge hawakosekani zikajaa sms za wakaka inbox kila mtu ananiulizAA kweli umeokokaa mara unasali wapi wengine hapo hapo wanataka kunioa
Usiku wa siku ile nikafungia sms ya huyo kijana alituma tu sms ya kuniita jina langu Mamamzungu basi tukawa marafiki kama mwezi mmoja baadae akanambia amenipenda anataka kunioa[emoji19][emoji19] ..Huyu nilionana nae live mara mbili tu nyie likaka lilikuwa lizuri limasaii basi bhn tukadate almost 2 yrs tukaja kubreak sababu za kipumbavuu niliumiaa kichizi,, sema alikuwa bahili sanaa
2: Huyu nae tulifahamiana kupitia watsup kwenye group la dini mimi nilituma sms kuna mtu nilitaka anitafute si akanitafuta yeye inbox [emoji23][emoji23] Huyu nimeonaa nae mara nyingi mpk kwake nimefika mara nyingi mno sema ni Kabahili pesa anayotoa ni nauli yupo Radhi atoe nauli ya kigoma-Dar kuliko kukutumia hela ya vocha … Kwa sasa hivi ni kama hatuna mahusiano
3: Huyu bhn ndio laazizi wangu tulikutana Facebook… siku ya kwanza kuonana nae nilikuwa naogopa balaa kwanza nilikuwa naogopa asije akanikimbiaa labdaa siendani na picha zangu…. Mmmh Alichonambia ni mzuri kuliko picha sema ni mfupi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anyway nina mwaka wa3 na kijana wangu wa facebook mambo ni yenteyente nampenda mnooooooo