Mahusiano ya nyonga na tendo la ndoa

Mahusiano ya nyonga na tendo la ndoa

PAMAGE

Senior Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
150
Reaction score
85
Za jion wana jf, polen na majukumu ya kutwa nzima.​

Naomba kuuliza, kuna uhusiano gani kati ya maumivu ya nyonga na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa?
Pili naomba kujuzwa je, majimaji meupe kama maziwa ukeni (yasiyonuka) yana madhara gan?
 
Za jion wana jf, polen na majukumu ya kutwa nzima.​

Naomba kuuliza, kuna uhusiano gani kati ya maumivu ya nyonga na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa?
Pili naomba kujuzwa je, majimaji meupe kama maziwa ukeni (yasiyonuka) yana madhara gan?
Labda kwa kuwa mfumo wa uzazi upo karibu na nyonga ndio maana...

NGOJA WATAALAM WAJE KWA UFAFANUZI ZAIDI
 
Za jion wana jf, polen na majukumu ya kutwa nzima.​

Naomba kuuliza, kuna uhusiano gani kati ya maumivu ya nyonga na ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa?
Pili naomba kujuzwa je, majimaji meupe kama maziwa ukeni (yasiyonuka) yana madhara gan?
NAKUMBUSHIA OMBI LANGU TAFADHALI MWENYE KUJUA ANIJUZE
 
Back
Top Bottom