Mahusiano!!!!


am starving lakini ngoja niende ulikozitoa hizi posts tu sasa
nimechoka
 
...tena wengine ndo wanawakopesha waume zenu pesa, mnakula nyie.Oooohh, kalagheni BAHO. SALINI TU MSIJE MKAINGIA MAJARIBUNI, huo ndio ushauri wangu kwenu.


Huyu ni mbaba uwiiiiii

...Mungu wangu,....
Mwj'1 wataka kila kitacholetwa nyumbani zidaiwe risiti sasa πŸ˜€
 
She's low down and dirty to be messing with somebody's husband. The husband is low down too.
 
She's low down and dirty to be messing with somebody's husband. The husband is low down too.

washenzi wote wawili na huyo mzinzi mwenzie!!! eti in 'the name of love'
yepi hayo mapenzi
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
hiyo ni roho y auasherati na uzinzi.. nashukuru kuwa huyu binti inaonekana yuko njiani kumrudia muumba wake kwa kuanza kuyasafisha matendo yake. kwa mimi ningemshauri aachane na huyo bwana haraka iwezekanavyo, ukweli ni kwamba penzi analokupa wewe na huyo mkewe ni tofauti. wewe anakupenda kimwili zaidi nina uhakika huo. na mkewe anampenda kiroho zaidi. yaani kuna maneno mawili upendo wa haja na upendo wa hamu.

kinachokutatiza najua ni hizo mali, kama ukimuacha akakunyanganya ujue hakukupenda. ila sidhani kama atafanya hivyo kwani tayari mna mtoto, atakuachia kwa faida ya mtoto wenu.
hongera kwa kufikia maamuzi ya busara
 
...Mungu wangu,....
Mwj'1 wataka kila kitacholetwa nyumbani zidaiwe risiti sasa πŸ˜€

MBU nimechoka nakwambia yaani hata ukidai risiti si utapewa tu? Maana imagine unambekea mtu kwa kukuibia mumeo kumbe ndo anakucheka wajidai mkali wakati nakulisha? Yale yaleeee ya visa vya mpemba mwenye duka!!
 
washenzi wote wawili na huyo mzinzi mwenzie!!! eti in 'the name of love'
yepi hayo mapenzi
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

'afu ndo maana watu wengine hawataki kusikia kabisa habari za ndoa. sasa hebu fikiria huyo mke wa huyo jamaa anajisikiaje sasa hivi?
 
'afu ndo maana watu wengine hawataki kusikia kabisa habari za ndoa. Sasa hebu fikiria huyo mke wa huyo jamaa anajisikiaje sasa hivi?

aki najiulizaga sana hilo swali i such situations!!!!

Unajihisi kutomwamwini mtu yeyote sasa!!!
 
Namuomba Mungu anipe ujasiri wa kutojiingiza kwenye nyumba ndogo. Ni rahisi sana kutumiwa kuliko vile wengi tunavyofikiri maana baada ya kuinvest yote hayo, mwisho wa siku unaishia kurudi kujisalimisha kwa mkeo, nguvu zote zimekuishia.
Lakini hata hivyo, nilichogundua kuna watu wanahitaji service za papo kwa papo bila kujenga kibanda. Pengine hao naweza kuwafikiria maana sisi wamakonde bwana kumnyima mtu kitu ninacho...sio haki kwa kweli.Lol
 

kweli huyu dada anachokifanya si sahihi na huyo bwana pia. Lakini moyo unaweza kupenda zaidi ya mmoja..

Assume kuna Beyonce na Rihanna, Beyonce anakuwa Bi mkubwa na Rihanna bi mdogo yani unaweza kupenda zaidi ya mmoja.
Ndio maana baadhi ya imani zikaruhusu zaidi ya mmoja, Yani unaweza kuoa hadi wanne.
Kama yeye ni muislam basi afunge nae ndoa kwa kufuata procedure za dini ya kiislam ili kuacha uzinzi unaondelea kati yao.

Kama ni mkristo basi hanajinsi ni kuachana nae maana wakristo mke mmoja tu ndio anayeruhusiwa
 

Natumaini basi na mwanamke atakubaliwa kupenda zaidi ya mara moja!! Maana hata sisi tuna moyo wa nyama!
 
MBU nimechoka nakwambia yaani hata ukidai risiti si utapewa tu? Maana imagine unambekea mtu kwa kukuibia mumeo kumbe ndo anakucheka wajidai mkali wakati nakulisha? Yale yaleeee ya visa vya mpemba mwenye duka!!

...goes both ways mamie, ...ndio maana wengine hizi "family days", sijui Get together za maofisini hatuzifagilii...
Unashangaa bosi wa mkeo anakuchangamkia as if mkeo ni mfanyakazi bora kiviiiile...! πŸ™‚
 
...goes both ways mamie, ...ndio maana wengine hizi "family days", sijui Get together za maofisini hatuzifagilii...
Unashangaa bosi wa mkeo anakuchangamkia as if mkeo ni mfanyakazi bora kiviiiile...! πŸ™‚

umenikumbusha mbali Mbu, mie nilishawahi kukutanishwa na mdada nakwambia nikaambiwa 'tunafanya naye ofcn' mdada kanichangamkia kupita maelezo yaani kikawa hadi kinanielezea habari ya mwanagu eti oh wala usijali akikua ataacha utundu, unajua watoto wa kiume wanakuwaga watundu sijui nini! Ahh nikamtolea uvivu
Nikamwuliza na hilo pia kakusimulia? Inaelekea unanifahamu vilivyo- loh kila kitu kikasizi maana ushoga ulikatikia pale pale- kumbe kilikuwa kinaniibia (opss sorry kilikuwa kinagaiwa nacho)
 


mmh!πŸ˜•
 

katika vitu ambavyo cvipendagi ni mautambulisho ya kidizaini dizaini vile, naona wananichora tu....
 
katika vitu ambavyo cvipendagi ni mautambulisho ya kidizaini dizaini vile, naona wananichora tu....

He is just a friend, tuko naye ofisi moja....!!! Yaani mtu analeta sanaa kwenye jumba la sanaa!
 
...goes both ways mamie, ...ndio maana wengine hizi "family days", sijui Get together za maofisini hatuzifagilii...
Unashangaa bosi wa mkeo anakuchangamkia as if mkeo ni mfanyakazi bora kiviiiile...! πŸ™‚

Hahahahaha! Umenichekesha sana! Kumbe anakuchora tu! Si ajabu hata jana yake tu katoka kukumegea!
 
He is just a friend, tuko naye ofisi moja....!!! Yaani mtu analeta sanaa kwenye jumba la sanaa!


bwana we laaziz, unaenda ofcn kwa mr wote wanakuangalia kipembeni, hee mie huwaga salamu tu zinawatosha mazoea ctaki kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…