Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui namba Moja wa nchi yetu ni CCM, hayo magari aliyaleta kwa ajili ya kuwawasha CHADEMA. Nchi hi inaendeshwa kwa misingi ya uhasama, chuki na uaduiNchi hii ni ya Amani,
Nagari ya washawasha ni mengi kuliko magari ya zimamoto.
Akichangia katika kipindi cha malumbano ya hoja mchangiaji huyu amesema inashangaza kuwa na magari ya washawasha mengi nchini yasiyokuwa na matumizi.
Tanzania imekuwa ni nchi ya Amani kabla hate hayo magari hayajanunuliwa. Nia ya Kikwete kununua magari hayo kwa billion 700, ilikuwa kujineenesha yet binafsi na maafisa wachache, pili ilikuwa kuwaadhibu CHADEMA.Kwa hiyo na chadema wakinunua magari yawashawasha amani itakuwepo