Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Baada ya Mange Kimambi kumtukana Maimartha ,Mai na yeye amejibu mashambulizi kwa kumtupia dongo Mange.
Mai ameandika "I'm living my best life in Dar as salaam" akimaanisha kwamba Mange Kimambi anajifanya mjanja hali ya kuwa anaishi maisha ya kuruka ruka nchi za watu , hivyo kubishana na mtu ambaye hata sehemu anayoishi anaishi kimazabe mazabe ni kupoteza muda tu.
Hapa ninasubiria kwa hamu nione Mange atajibu nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mai ameandika "I'm living my best life in Dar as salaam" akimaanisha kwamba Mange Kimambi anajifanya mjanja hali ya kuwa anaishi maisha ya kuruka ruka nchi za watu , hivyo kubishana na mtu ambaye hata sehemu anayoishi anaishi kimazabe mazabe ni kupoteza muda tu.
Hapa ninasubiria kwa hamu nione Mange atajibu nini.
Sent using Jamii Forums mobile app