mainda: nipo tayari kufa kwa ajili ya ray..

mainda: nipo tayari kufa kwa ajili ya ray..

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
mbali na kuanika mahusiano yake ya kimapenzi na ray,na jinsi chuchu hans na johari walivyomuingilia kwenye penzi lake na aliyekuwa my ex number one wake, baadhi ya watu wameanza kumtishia maisha kama akiendelea kutoboa siri nyingine ambazo ameahidi kuzitoa. " Ninachoweza kuwaambia ni kwamba nipo tayari kufa kwenye mapambano,sitaogopa chochote,kwanza sijaona chochote kibaya nilichoongea,bado nina mambo mengi zaidi ya hayo". alisema mainda kwa kujiamini.
 
Aliniudhi alipobadili dini
Mwanaidi sasa Ruth
 
unapotosha alisema yuko tayari kufa kwa kusema ukweli bila kuogopa kumbuka alisema madudu na uchafu wa bongo movies. akaanza kupata msg za vitisho.

badilisha kichwa cha habari
 
hat ingekuwa honey faith lazima ukinukishe,yaani dini ubadili halafu uambulie patupu??,dah sisi wanaume wabaya sana,ndo na nyie mpige kazi sasa so mnatemegea kuolewa na wanaume wenye nazo mwishowe unaambulia maumivu tu kama bi dada apo,yaan zote apo ni hasira tu za kuporwa shingo yake hana lolote mbona wakat anatongozwa hakutangaza
 
unapotosha alisema yuko tayari kufa kwa kusema ukweli bila kuogopa kumbuka alisema madudu na uchafu wa bongo movies. akaanza kupata msg za vitisho.

badilisha kichwa cha habari

mi nikahisi sijui kusoma....au sikuelewa ile habari
 
Kwani anaposema haogopi chochote,yupo tayari kufa kwenye mapambano,chanzo cha ugomvi ni nani?,bongo movie unity au ray??,anapambana na nani na ili iweje?? Apo nadhan mtakuwa mmeelewa kwa tafsir nyingine kuwa yupo tayar kufa kwa ajili ya ray,kama utakuwa una upeo wa ziada na mweny uwezo wa kufikir kwa utashi@HEAVEN ON HEARTH and MONEY STUNA
 
Ana hasira baada ya kuporwa hawara wake na johari pamoja na chuchu,nadhani hiyo ya kutokuogopa chochote imekuja baada ya johari kumtisha kuwa atamuonyesha,na ndio maana akasema haogopi mtu yeyote na yupo tayar kufa,sasa apo mwenye ubongo ataelewa kinachompa kiwewe mainda ni nani na kwa nini
 
Kwani anaposema haogopi chochote,yupo tayari kufa kwenye mapambano,chanzo cha ugomvi ni nani?,bongo movie unity au ray??,anapambana na nani na ili iweje?? Apo nadhan mtakuwa mmeelewa kwa tafsir nyingine kuwa yupo tayar kufa kwa ajili ya ray,kama utakuwa una upeo wa ziada na mweny uwezo wa kufikir kwa utashi@HEAVEN ON HEARTH and MONEY STUNA

apo kwenye red alisema kuhusu madudu ya bongo movies kama kugegedana wao kwa wo kambini etc hivo kama una mke/mme bongo movies hesabu maumivu
 
Kwani mda wote alikuwa wapi kutapika izo pumba zke?? Hana jipya kashachukliwa bwana na wajanja anaanza kuhangaika mara ooh bongo movie ivi,anaweweseka tu huyo
 
Huu upuuzi mcwe mna2letea ce please.
 
Perry, did I ask u to open this thread??,come on think and act like a matured person,hope u got me..
 
Back
Top Bottom