maisha bila marafiki

Mbona sikuelewi unawezaje kuishi bila rafiki ina maana huna watu wanaokuzunguka au wewe umekamilika kila kitu?
hebu naomba nifafanulie zaidi.
 
Nina marafiki wengi ila sina best friend.
Bf/gf/wife/husb si sahihi kusema ndio best friend wako maana huyo ni zaidi ya best.
Siwezi kuishi bila marafiki maana 70% ya furaha yangu inatoka kwa marafiki.
Ahsante the boss kwa thread lenye akili.
 
rafiki wa kusaidiana kwenye shida na raha niwachache sana au hawapo kabisa, mie rafiki yangu ni mume wangu, watoto wangu na mama yangu basi.

maisha yakiwa mazuri wengi watajitokeza kama vile ni marafiki, maisha yakibadilika unaweza usimwone hata mmoja.
 
Asanteni wadau kwa mawazo yenu,nimepata mengi nakujifunza kua wingi si hoja bali ubora,hivyo ni bora kua na marafiki wachache wa ukweli kuliko wengi wazushi.pamoja tunajenga taifa.
 
Ni kweli mimi ni mfano am suffering a lot
 

nibora kuwa na marafiki wachache wenye akili kuliko wengi wenye kukutia karaha. Hili nalo ulikumbuke maana adui zako ni rafiki zako.
 
The enemy of my enemy is my friend.....changanya na zako.
 
Kweli rafiki ni muhimu ila kwa kweli kupata real rafiki siku hizi ni ndoto. Imekuwa unafiki mwingi. Mtu anajifanya rafiki yako kumbe kuna kitu anataka kwako. Mtu anajifanya rafiki yako ili umsaidie issue fulani ila kiukweli sio rafiki. Ule urafiki wa kweli umepoteza maana na ndio maana wengi wana hiari kusema wana washkaji wanaofahamiana ila sio best friend tena. Dhana ya best friend unayemwamini na kumkubali ambaye atakuwa na wewe kwenye shida na raha imepoteza maana. Unafiki na kujipendekeza ndio umejaa siku hizi.
 
mh..........................
 
unaguna nini ze boss, si uongee??
 
Nina marafiki weng ila sijapata the best coz i dont trust any1 even my own dat why sina bestf even my wife
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…