Yani jamaa anaamini Mungu anajua yote.Hautapata nafuu yoyote kwa kuamini tu yupo halafu kweli akawepi kama hautashika na kuishi mafundisho ya dini yako.
Theists wa bongo inabidi wajifunze sana kuboresha hoja zao, kama hilo swali la nani sijui aliweka sukari kwenye nanasi na miwa ndio huwa la hovyo na unintelligent zaidi lakini linapendwa sana!Yqni jamaa anaamini Mungu anajua yote.
Halafu pia anaamini kwamba yeye anaweza kumtapeli Mungu aingie mbinguni kiujanjaujanja wa kubetibeti tu 🤣🤣🤣
Mpaka hapo kashatuambia haamini Mungu yupo, anabeti tu.
Mimi hilo la sukari niiliangalia nikajua hapa nikijibu naenda kujibizana na ngumbaru ambaye hajajifunza osmosis ni nini.Theists wa bongo inabidi wajifunze sana kuboresha hoja zao, kama hilo swali la nani sijui aliweka sukari kwenye nanasi na miwa ndio huwa la hovyo na unintelligent zaidi lakini linapendwa sana!
Inasikitisha sana mkuuMimi nimelia sana
Uwe na muda tuichunguze Biblia mm na ww, aidha kwa mtandao au kawaidaTujuze mkuu 😀
2 Timotheo 2:13 )(Hizo ni Shana zinajengwa kwenye akili Kwa kusikia na kusoma maandishi ya wengine.
Waliotengwbeza dini walikuwa na malengo Yao hususani kufnikisha Utawala na uporaji wa mali za wajinga.
Mpumbavu husema hakuna Mungu- maneno ya wahenga katika biblia yenye ukweli mtupuHabari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Asa wewe unadhani unaweza kuamini bila mafundisho au dini yako mzeeHautapata nafuu yoyote kwa kuamini tu yupo halafu kweli akawepi kama hautashika na kuishi mafundisho ya dini yako.
Mwanangu umewakalia kooni, daah me nsichikipenda kuhusu dini badala i unite watu ndio kwanza inaongoza kwa Prejudice, colour discrimination na vitu vyoote ambavyo vipo agaist what is being preached ndio mana nimekuwa nikihoji mambo mengi sana na sipati majibuAlipaa sehemu gani?
Nchi gani? Mkoa gani? Mtaa upi?
Tarehe ngapi? Mwezi upi? Mwaka gani?
Na muda gani exactly aliopaa?
😂😂😂😂😂Dah sawa masta!!!
Point tatu beba wewe!
Nambie mamaKhaaaaa.!! 😹😹
Ndo umejibu swali?Swali kwako wewe unahisi hii Dunia jinsi ilivyo perfect unazan itakua imejitokezea tu
Tuishie Hapa,, Wema na Upendo wa Mungu NI uhalisia Wa Maisha✊✊
Upendo wa mungu unapenda watu wake wateseke?wakufe waumie ?Tuishie Hapa,, Wema na Upendo wa Mungu NI uhalisia Wa Maisha✊✊
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, kusingewezekana kuwapo na mpumbavu popote.Mpumbavu husema hakuna Mungu- maneno ya wahenga katika biblia yenye ukweli mtupu
Sio lazima kubisha Kila kitu, sawa?Ulishawahi kwenda huko Tanga na Kigoma au unaandika kwa stori za kahawani!? Mimi nipo kwenye moja ya mikoa hiyo na sijawahi kuona wala kusikia stori hizo! Tatizo lenu mkikaa vijiweni kila mmoja anatafuta stori za kutunga ili kahawa ishuke!
Religion is a fictional identity.Mwanangu umewakalia kooni, daah me nsichikipenda kuhusu dini badala i unite watu ndio kwanza inaongoza kwa Prejudice, colour discrimination na vitu vyoote ambavyo vipo agaist what is being preached ndio mana nimekuwa nikihoji mambo mengi sana na sipati majibu
Wahenga kina nani?Mpumbavu husema hakuna Mungu- maneno ya wahenga katika biblia yenye ukweli mtupu
2 Timotheo 2:13 )(Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, kusingewezekana kuwapo na mpumbavu popote.
Ukishaona kuna uwezekano wa mtu kuwa mpumbavu, hilo ni ushahidi Mungu huyo hayupo.
Mtu kuwa mpumbavu katika ulimwengu ambao una Mungu ni mambo mawili yaliyo mutually exclusive.
Ama una mtu mpumbavu katika ulimwengu ambao hauna Mungu.
Au una ulimwengu ambao una Mungu na hauna mtu mpumbavu.
Haiwezekani ulimwengu ambao una Mungu uweze kuwa na mtu mpumbavu.
Sitaki habari za kuamini, nataka kujua.2 Timotheo 2:13 )(
Kama sisi hatuamini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.