Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 530
Wadau, jana nimeenda Orxy kununua gas ya kupikia (LPG) ya kilo 25. Nilipigwa na butwaa kukuta bei imepanda kutoka wastani wa 35,000/- hadi shs 40,000/-. Kwa kawaida mimi hutumia mtungi wa kilo 40 lakini kutokana na hali halisi ilibidi nikajaze mtungi wa kilo 25 ndipo nikakutana na mshangao huo!
Bei ya gas kwa kilo 38/40 sasa imefika shilingi 101,000/- kutoka shs 70,000/- mwaka 2006/07, shilingi 94,000/- mwaka 2009 na sasa shs 101,000/-. Hizi ni bei za Arusha/ Moshi.
Sijui wakati Rais wetu anaondoka mwaka 2015 (kama ataupata tena mwaka huu) atatuacha kwenye hali gani.
Bei ya gas kwa kilo 38/40 sasa imefika shilingi 101,000/- kutoka shs 70,000/- mwaka 2006/07, shilingi 94,000/- mwaka 2009 na sasa shs 101,000/-. Hizi ni bei za Arusha/ Moshi.
Sijui wakati Rais wetu anaondoka mwaka 2015 (kama ataupata tena mwaka huu) atatuacha kwenye hali gani.