Maisha bora ya JK haya hapa.............................

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184

STREET children take a nap under a tree shade along Garden Avenue near the PPF Towers in Dar es Salaam on Thursday. The ever increasing number of street children and beggars in the city is a matter of national concern. (Photo by Robert Okanda)
 
Kama Dar hali ni hii huku mikoani je? Mambo si ni mabaya sana?
 
achana na mikoani nenda kijijini....unashindwa kutoa umeme kwa 14% ya wananchi wako halafu unajiita rais?
 
Hawa wako radhi kulipa kampuni hewa ya DOWANS lakini inapokuja masikini hoehae utawakuta huwatupia makombo tu siku za sikukuu tena kwa kuwachagua wale ambao wako kwenye majumba hawa wa mtaaani hawataki hata kuwafikia......................................

<table width="100%" border="0"><tbody><tr></tr><tr> </tr> <tr><td valign="top" align="center">
</td> </tr> <tr> <td class="kaziBody" valign="top" align="center">THE National Chairman of Chama Cha Mapinduzi (CCM), President Jakaya Kikwete, chairs a meeting of the Party's Central Committee (CC) at the State House in Dar es Salaam on Thursday. (Photo by Ramadhan Othman)</td></tr></tbody></table>
 
haki huinua yaifa, bali dhambi ni aibu ya watu wowote, hata dowans ikilipwa, bado taifa halitainuka hadi serikali imewatendea haki raia wake, vinginevyo dhambi inatuotea milangoni mwetu na aibu hizi zitatuandama siku zote
 
The comfort of the rich depends upon an abundant supply of the poor?
 
maisha bora kwa kila mdanganyika ndio hayo, na bado..
 
Na hapa ndo kwanza safari ya miaka mitano haijaanza.duh!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…