Maisha, Familia, Mapenzi Na Utajiri Wa "Rick Ross" | HipHop hailipi Bongo tu..

sawa mkuu
 
Point of correction or addition not all tumemjua kupitia waka waka no tang miaka kumi nyuma wengine tunamfaham na kumskliza
 
sikatai afrika wanamjua, nimezungumzia kwa watanzania wengi ambao sio wafuatiliaji wa hip hop wengi wamenza kumjua baada ya hii ngoma na diamond
Ngoma iliyomtambulisha sana ni ile aliyofanya na psquare sio hii ya waka waka
 
KING kiba hiyo ndo sifa yake??????nimejikuta nakumbuka ile nyimbo sifa za kijinga
https://www.last.fm/music/Mkoloni/_/Sifa+za+Kijinga
Mkoloni — Sifa za Kijinga — Listen, watch, download and discover music for free at Last.fm
 
Rick ross anajulikana siku nyingi kabla hata diamond hajatoka.

Kuhusu hutajiri, USA kama serikali ina support wasanii wao, ikiwemo kuhakikisha kazi zao zinawaletea faida. Huku kwetu hakuna cha hivyo, ni kurudishana nyuma tu
 
kwa afrika especial west ni hyo na p square vp kuhusu bongo wabongo wengi wamemjua kwa ngoma gani?
Ngoma aliyofanya na diamond haijawa kubwa kihivyo tofauti na beautiful onyinye ya psquare
kingine kilichomtambulisha ni fiesta
 
kwa afrika especial west ni hyo na p square vp kuhusu bongo wabongo wengi wamemjua kwa ngoma gani?
Wewe ni mbishiii karibia wote hapa wamekugomea, haya wabongo wengi wa wapi? Watanzania wasimjue wakati alishakuja bongo akaperfom Fiesta 2012.

Kubali tu umechemka!!
 
Seriously????do u know the song called am not a star??sasa watz wamemjua huyu jamaa kitambooooooo sana pole mkuu kwa kuchelewa kumjua
 
[HASHTAG]#Bigboss[/HASHTAG]..[HASHTAG]#Richforever[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…