Maisha halisi...

Maisha halisi...

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
HOME+ALONE+2.JPG

HOME+ALONE.JPG

Field%2BPhoto%2B1.JPG


HOME+LIFE.JPG


Chanzo: http://nienga.blogspot.com/
 
Yes, haya ni maisha halisi, tena ni zaidi ya 60% ya watanzania au 90% ya watanzania tuishio huku vijijini
 
sijui nifanyeje kumkomboa mtanzania wa aina hii anayedanganywa kutoa kura kwa sisiemu ccm kila wakati na maisha yake hawayabadilishi....Mungu wasaidie watu wetu hawa! maisha bora kwa kila mtanzania ni kwaajili ya watu wepi sasa, walioko mjini maisha magumu, kijijini ndo usiseme.
 
ngoshwe;93anayozlisha pamoja na mifugo yake inatumika kumjengea Gavana wa benki kuu palace inayoghalimu mabilioni ya [URL="http://nienga.blogspot.com/" said:
NIENGA[/URL]


Haya ndio maisha halisi ya mtanzania wakati kodi anayolipa kutokana na mazao na mifugo yake inatumika kumjengea Gavana wa benki kuu jumba linaloghalimu mabilioni ya shilingi!! Je viongozi wetu wana akili kweli?
 
Back
Top Bottom