kama walivyo wanawake...unakuta mtu kakutingia Gucci (feki), kabeba Coach bag (feki), Fendi clutch (feki).....yote hii katika kuonyesha yu matawi ya juu na anazijua lebo za bei mbaya....kumbe hamna lolote
Am just thinking out loud, kama label anazijua ila hana uwezo nazo inakuwaje? Kuna tatizo akijibabua na hizo feki? Mimi nilifikiri tatizo ni pale anapoenda mpaka mtaa wa tatu kwa Amina amuazime label ya ukweli ili akawakoge ofisini? Au?
DO you know the reason(s) as to why wanakuwa hivyo............Hujawahi kuona watu wanaokoka ili kumpata demu.............??? Kifupi wanawake wanapelekea wanaume kuwa hivyo na wanaume nao wanapelekea wanawake kuwa hivyo........................... Tatizo ni kuwa tunatolea sana macho anayetenda na tunamwacha aliyesababishajamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.
jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.
jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.