Pesa ndogo sana itakuchukua muda mrefu kununua na kumiliki hiyo chumaNina mshahara wa take home ya Shilingi 1.8M, Ni save kiasi gani kwa mwezi na kwa muda gani Ili niweze kuvuta hii kitu?
Laki 8 kwa miaka 20 ni M192, bado hujafika hata nusu beiNina mshahara wa take home ya Shilingi 1.8M, Ni save kiasi gani kwa mwezi na kwa muda gani Ili niweze kuvuta hii kitu?
Hao wote uliiwataja hapo sio jon kisomo wao walisoma kuelewa sio kukariri mkuuWale wale, akili ndogo, "kwa vile Mond aliishia LA Saba, na, ana Mali, hata watoto wangu wasiposoma, wanaweza kuwa matajiri"
MTU yoyote anaweza kumiriki hizo gari, sio jambo LA ajabu, formula yako ya maisha, IPO applicable bongo tu, ambapo fulsa za wasomi kutumia ujuzi, wao kutengeneza ukwasi, ni haba,
Dangote, Bill gates, Mark Zuckerberg, Dr Mengi, Ali mfuruki, Waga technology, mollel electric, hawa wote ni wasomi sana, na, wana ukwasi, mkubwa,
Kakope kausha damu ila utakuja kujinyonga.Nina mshahara wa take home ya Shilingi 1.8M, Ni save kiasi gani kwa mwezi na kwa muda gani Ili niweze kuvuta hii kitu?
Mpaka akifika hiyo gari inauzwa zaidi ya mil 600 kushuka kwa thamani ya sarafu yetu , itakuwa $1 sawa 10kLaki 8 kwa miaka 20 ni M192, bado hujafika hata nusu bei
Kwan mkuu mpya kbs km hyo 0 klmt inakuwaga bei ganPesa ndogo sana itakuchukua muda mrefu kununua na kumiliki hiyo chuma
😳😳😳Daaaaa m 600 aiseé watu wako na pesaa afsaaaMpaka akifika hiyo gari inauzwa zaidi ya mil 600 kushuka kwa thamani ya sarafu yetu , itakuwa $1 sawa 10k
SahauNina mshahara wa take home ya Shilingi 1.8M, Ni save kiasi gani kwa mwezi na kwa muda gani Ili niweze kuvuta hii kitu?
GPA is the worst criteria for hiring. ~Elon MuskVilaza katika moja na mbili
Wanachuo msimsikilize mleta mada...someni mfaulu vizuri na GPA iwe nzuri