Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Jioni hii ya tarehe 21th march, nimekaa nikatafakari ya kuwa maisha yana siri kubwa sana , jinsi unavyo yaishi na wewe yanakuishi hivyo hivyo.
So live according to the situation....ukipata fursa ikamatie mpaka ikamatike.
Ndiyo maana hata watu wakipata sehemu za kupiga hela wanapiga vilivyo mpaka wanajistukia.
Likewise kwa sisi jobless graduate ukipata fursa ya hela ikamatie ikamatike vilivyoo maana ikipotea uta regret kindani ndani.
Tulipokuwa tunasoma tulijua kuwa tunasoma ili kulitumikia taifa ila kwa uhalisia unalitumikia tumbo.
Asante.
So live according to the situation....ukipata fursa ikamatie mpaka ikamatike.
Ndiyo maana hata watu wakipata sehemu za kupiga hela wanapiga vilivyo mpaka wanajistukia.
Likewise kwa sisi jobless graduate ukipata fursa ya hela ikamatie ikamatike vilivyoo maana ikipotea uta regret kindani ndani.
Tulipokuwa tunasoma tulijua kuwa tunasoma ili kulitumikia taifa ila kwa uhalisia unalitumikia tumbo.
Asante.