Maisha hayana Maana

Maisha hayana Maana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Now I'm matured, Hiki kidogo napata nilifanikiwa kusaidia masikini, kusaidia wazazi na kutoa sadaka

Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu. Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafuta Nini. Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?

Better die Young than live a slave life. Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else. Mtapata maji, Mtaoga, Mtafua, Mtamwagilia Mboga Mboga zenu. Siachi mke Wala mtoto.
 
Now I'm matured
Hiki kidogo napata
Naweza kulipa bill
Kusaidia masikini
Kusaidia wazazi
Kutoa sadaka

Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu

Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafta Nini

Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?

Better die Young than live a slave life.

Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else.

Mtapata maji
Mtaoga
Mtafua
Mtamwagilia Mboga Mboga zenu



Siachi mke
Wala mtoto
Kwahiyo unakufa lini?
 
Now I'm matured
Hiki kidogo napata
Nilifanikiwa
Kusaidia masikini
Kusaidia wazazi
Kutoa sadaka

Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu

Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafta Nini

Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?

Better die Young than live a slave life.

Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else.

Mtapata maji
Mtaoga
Mtafua
Mtamwagilia Mboga Mboga zenu



Siachi mke
Wala mtoto
Una kawehu mkuu, wahi mirembe 🤣
 
Now I'm matured
Hiki kidogo napata
Nilifanikiwa
Kusaidia masikini
Kusaidia wazazi
Kutoa sadaka

Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu

Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafta Nini

Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?

Better die Young than live a slave life.

Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else.

Mtapata maji
Mtaoga
Mtafua
Mtamwagilia Mboga Mboga zenu



Siachi mke
Wala mtoto
I love seeing someone take full control of their lives, wengine wanaishi kwenye auto pilot mode
 
Now I'm matured
Hiki kidogo napata
Nilifanikiwa
Kusaidia masikini
Kusaidia wazazi
Kutoa sadaka

Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu

Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafta Nini

Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?

Better die Young than live a slave life.

Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else.

Mtapata maji
Mtaoga
Mtafua
Mtamwagilia Mboga Mboga zenu



Siachi mke
Wala mtoto
Watoto kuacha ni muhimu otherwise hauzalishi
Na legacies nitaziacha mtaani
Sema nini unataka?
 
Huyu alikuwa ana lalamikia wazazi wake ktk nyuzi zake za nyuma, leo ana jipiga kifua...
Na juzi kacomment sehemu kuwa anafundisha tmk mshahara sijui laki tano akiwa analalamikia udogo wa mshahara. Leo kajenga kisima cha mls 3.
I love jf, you can be anybody anytime
 
Umefanya vizuri lakini ukupaswa kuja kusema umefanya kitu fulani kwa shilingi kadhaa, watu kibao huwa wanatoa ila awesemi kuwa nimetoa kadhaa kwa shilingi kadhaa
 
maisha ni upuuzi!!
hii kauli inamaana kubwa,,

ni kweli unaona umeacha legacy lakin je,,,
kuna mpuuzi mmoja baada ya mda kidogo anakwambia bomo hicho kisima kwa sababu kipo ktk open space! ama bra bra nyingine!

au basi wananchi wanakuona fala kwakuwa labda hujaacha mtoto ama hujanunua gar!

kwa ujumla namaanisha tusifanye jambo kumfurahisha mwanadam,haridhik,hakumbuk,hashawishiki n.k
mimi nauelewa sana mfumo wa kibepari,kila mtu anaangalia upande wake!
kufa kupo sawa,lakin kabla hujafa unaishi vipi na hasa mahitaji yako ya kila siku!
 
Na juzi kacomment sehemu kuwa anafundisha tmk mshahara sijui laki tano akiwa analalamikia udogo wa mshahara. Leo kajenga kisima cha mls 3.
I love jf, you can be anybody anytime
IMG_20220921_120448.jpg

Je wewe hii Kazi unaiweza ?:au unadhani kusave laki tano na nusu Hadi Kupata 3Ml bila kukopa ?
 
Maana ya maisha ni pale unapojua hayana maana na ukatenda mema kwa wengine
 
Back
Top Bottom