DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Now I'm matured, Hiki kidogo napata nilifanikiwa kusaidia masikini, kusaidia wazazi na kutoa sadaka
Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu. Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafuta Nini. Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?
Better die Young than live a slave life. Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else. Mtapata maji, Mtaoga, Mtafua, Mtamwagilia Mboga Mboga zenu. Siachi mke Wala mtoto.
Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu. Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafuta Nini. Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi katika Uchafu?
Better die Young than live a slave life. Legacy yangu nimeacha kisima Cha maji ,ndo hicho kisima Cha mil 3 so I'm ready to die nothing else. Mtapata maji, Mtaoga, Mtafua, Mtamwagilia Mboga Mboga zenu. Siachi mke Wala mtoto.