[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Halafu mwenye mshahara analalamika kama hivi, jee wale hata kazi hawana sijui wanaishi vipi??[emoji15][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] hapo kipondo cha maisha ndo utakijiua sasa.
Yaani unaweza kupata matatizo ya nguvu za kiume, maana hisia zote zina hamia kuwaza maisha tu, daahh!! Halafu watu ni wengi kila mtu anastruggle maisha mazuri!! Shit!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Halafu mwenye mshahara analalamika kama hivi, jee wale hata kazi hawana sijui wanaishi vipi??[emoji15]
Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app