Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Juzi hapa India imepiga marufuku kuuza mchele nje ya nchi yao. India ndiye muuzaji mkubwa wa mchele duniani. Nchi tatu zinazofuatia zikijulisha kiasi zinachouza bado hazifikii kiwango inachouza India. Pia ni muuzaji mkubwa wa ngano, hii alishapiga marufuku kuuza nje siku nyingi.
Matokeo yake mchele utapanda bei kupita kiasi maana wazalishaji wakubwa nao watafuata mfano wa India. watu watakimbilia nafaka mbadala kama ngano ambazo nazo zitapanda bei balaa.
Tujitahidi kununua chakula na kutunza. Tujitahidi kuanza kuzalisha chakula nyumbani, badala ya kupanda maua tupande nyanya chungu.
Matokeo yake mchele utapanda bei kupita kiasi maana wazalishaji wakubwa nao watafuata mfano wa India. watu watakimbilia nafaka mbadala kama ngano ambazo nazo zitapanda bei balaa.
Tujitahidi kununua chakula na kutunza. Tujitahidi kuanza kuzalisha chakula nyumbani, badala ya kupanda maua tupande nyanya chungu.