Maisha katika face me I face you, ukiamka asubuhi unaona vitu vyote unavyomiliki

Maisha katika face me I face you, ukiamka asubuhi unaona vitu vyote unavyomiliki

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1660620045479.png

Zinaitwa face me I face you kwakua ukifungua mlango wa chumba chako inatazamana na jirani yako.

Ukipika pilau chakula kinachobaki utakinusa usiku mzima mpaka kesho hamu imekuishia.
 
Achana na face kwanza can u tell me what are those shoes doing there, and how did they get there?
 
Back
Top Bottom