Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
Ukitoa shilingi 10,000 bar unaonekana kibopa lakini ukitoa hiyo noti kwenye daladala unaonekana msumbufu.. *Hii inaitwa muktadha*
Ukivaa gauni refu la kitenge kanisani unaonekana una maadili ila ukivaa gauni kama hilo club unaonekana mshamba... *Hii inaitwa utambuzi*
Ukinyoa para kama una hela unaonekana smart ila kama ni masikini unaonekana chokoraa.. *Hii inaitwa nguvu ya pesa*
*Wasalamu wapendwa
Mentor
Ohooo kumbe mi sio mentor
Ukivaa gauni refu la kitenge kanisani unaonekana una maadili ila ukivaa gauni kama hilo club unaonekana mshamba... *Hii inaitwa utambuzi*
Ukinyoa para kama una hela unaonekana smart ila kama ni masikini unaonekana chokoraa.. *Hii inaitwa nguvu ya pesa*
*Wasalamu wapendwa
Mentor
Ohooo kumbe mi sio mentor