Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Nimefukuzwa kazi usiku nikiwa ukumbIni na konyagi yangu alafu gari la ofisi wamelichukua bila kuambiwa hata kunibeep ila sikuwa na bando sababu mimi ndio mpandishaji wa vifurushi.
Kilichoniuma watu waliposikia nimeondolewa hata lift hawajanipa imeishia kupanda boda paka nyumbani ndio maana leo jioni nimeshindwa kwenda kucheza golf na gari la Serikali.
Nikipewa tena hakutakuwa na goli la mkono, kutakuwa na magoli ya lede pamoja VRA
KARIBUNI UGALI MAISHA NI GWARIDE
Kilichoniuma watu waliposikia nimeondolewa hata lift hawajanipa imeishia kupanda boda paka nyumbani ndio maana leo jioni nimeshindwa kwenda kucheza golf na gari la Serikali.
Nikipewa tena hakutakuwa na goli la mkono, kutakuwa na magoli ya lede pamoja VRA
KARIBUNI UGALI MAISHA NI GWARIDE