Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Unatk kusemanafeel maumivu unayopitia coz nshakua muhanga wa hilo zaidi ya mara moja, sema nini relax jipe mda tafuta msichana wa kukufariji, usipende kukaa sana peke ako usije ukajiua
Simu yangu ni tecno c 8 nilinunua 2014 wakati nipo first yr chuo.Unamiliki smartphone lakini magodoro na vitanda used vinauzwa bei rahisi chini ya laki unapata
Je unajua hiyo smartphone ni ya shingapi? Na je kama alipewa auze? Hujui kuwa hayo ni mawasiliano?Unamiliki smartphone lakini magodoro na vitanda used vinauzwa bei rahisi chini ya laki unapata