Maisha Mapya ya Jackline Ntuyabaliwe...

Status
Not open for further replies.
Mange sio spy ila watu wa karibu ndio wanamtumia data ili hazitoe hadharani.
Km Musiba na gazeti lake la Tanzanite lkn Kuna mtu mwengine pembeni anatoa taarifa.
Wewe maisha ya watu inamuhusu niniahangaike na maisha yake kwa maana maisha ya watu hamuhusu .
Busy kutwa hili lile nini news za life za watu kama jacky yeye anahusikaje ni mwanafamilia au ni family friend?
 
Acheni zenu jamani. Jack hana matatizo. Namjua in & out. Dada yake mkubwa ni gyno, mke wa Col. Joseph Simbakalia mkurugenzi mkuu wa EPZA. Na ni yeye Jack aliyesababisha somebody Emanuel Simbakalia kuwa sehemu ktk muundo wa IPP Media. Jack ni brainiac. Nakumbuka siku moja Jack alihimizwa na dada yake kumjali sana mzee Mengi shauri ya huruma ya dada mtu kwa mzee Mengi. Jack alijibu jibu mujarabu kudhihirisha mapenzi yake kwa mzee.
 
Na Shimimana ni dada yake?
 
moyo kichaka ndio maana kuna semi kama tumuachie Mungu au M/MUNGU anajua zaidi
..

.
 
Yule baba inaonyesha alichokuwa anakitaka ni furaha tu maana pesa alikuwa nayo. Kuna siku walienda Hyatt hotel. Mara nyingi walikuwa wanaenda kula yule baba hutoa sana tips kwa wafanyakazi wa Ile hoteli. Ila ila alikuwa hatoi hela mbele ya Jacky. Sijui yule mwanamke alikuwa hapendi
 
Kumbe ww kazi yako ni kudili na maisha ya watu tu baas, kuna watu ni hasara duniani aisee!
 
Huyo Gyno alishawahi kuwa top wa PRIDE Tanzania?
 
ila huyu dada warumi sjui mmbea JF impe tuzo aseee..sipati picha akiendaga saloon kutengeneza nywele huko saloon nadhan wanatamanigi asiondoke alale humo humo maana anajua Ku brand ubuyu wake bwana kaaah
 
mapapalazi mnajua kudukua zaidi ya hata aliewaumba[emoji872][emoji872]
 
ila huyu dada warumi sjui mmbea JF impe tuzo aseee..sipati picha akiendaga saloon kutengeneza nywele huko saloon nadhan wanatamanigi asiondoke alale humo humo maana anajua Ku brand ubuyu wake bwana kaaah


Kweli wewe ni Samweli? Au ndo walewale wanaocheza timu pinzani?
 
Mi ndio maana niliamini Mengi kala bata ambalo hakuwahi kulila toka azaliwe na kama furaha yule mwanamke alijua kumpa bana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…