Maisha na uhai hujitengeneza vyenyewe kulingana na mazingira (supernatural power ipo lakini dini ni ulaghai)

Maisha na uhai hujitengeneza vyenyewe kulingana na mazingira (supernatural power ipo lakini dini ni ulaghai)

DeMostAdmired

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
1,579
Reaction score
3,798
Supernatural power ni nguvu ya asili ambayo ni matokeo ya ukamilifu wa mifumo na vitu vinavyounda mazingira. (Mazingira hai na mazingira mfu).

Nakubaliana na uwepo wa Supernatural power lakini kwenye dini bado sijashawishika.

Kila kiumbe hai hujitengeneza chenyewe automatically huku mchakato mzima ukiendeshwa na mazingira.

Reasons......
-Kama Supernatural power isingekuwa ni mazingira basi viumbe hai visingekuwa na pahala maalumu pakuishi ulimwenguni (vingeweza kuishi popote pasipo shaka wala kudhulika).

Jiulize kwanini ukitupwa majini unakufa? Kwanini samaki akiwekwa nchi kavu anakufa? Hiyo ni mifano michache kati ya mingi ambayo mtu mwenye kujishughulisha katika kufikiri ataipata ya kutosha tu.

Kama nguvu iliyoumba viumbe na visivyo viumbe hai haitoki katika mazingira basi viumbe hai tungeweza kuishi popote pasipo kudhulika.

Mchawi hutumia mitishamba katika shughuli zake (mitishamba ni sehemu ya mazingira)

Hospital kuna madawa ambayo hutumika kutibu wagonjwa (madawa yametoka katika mazingira)

Conclusion! Wadau wa Dini walichungulia fursa kwa ku-take advantage ya watu wengi kutokuwa na uelewa na nguvu iliyopo katika mazingira.
 
Ipo siku binadamu ata control kila kitu ulimwenguni hata hiyo supernatural power itakuwa powerless.

Ni suala la muda tu.

Hata kifo naamini kitakuja dhibitiwa na uhai kuweza kurudishwa kwa viumbe mfu.
It will never be powerless
 
Una uhakika na uthibitisho?

Au ni mawazo yako tu?

Binadamu kuna vitu alikuwa haviwezi miaka ya nyuma ila sasa anaweza.

Ni suala la muda tu, Kifo kitakuwa controlled.
It's power will still be there lakini binadamu atakuja na nguvu ya kupingana na nguvu nayoizungumzia
 
Mjue sana Mungu ili uwe na amani Ayubu 22:21.

Mimi binafsi nilikuja kumuamini Zaidi Mungu Baada ya kusoma Bible.

Nilianzia na kusoma vitabu viwili tu
1. Daniel kitabu kilichofanyiwa utafiti na Izac Newton zaidi ya miaka 10.

2 kitabu cha ufunuo wa Yohana.

Hivi vitabu vinaelezea
:Tawala nne za Dunia.

:Utabiri wa kuja kwa Yesu kristo tarehe mwezi hadi mwaka.

: Kuibuka kwa Roman catholic

:kuibuka kwa Dini ya kiislamu.

:Kuibuka kwa Taifa la Marekani tarehe hadi mwaka

: European Union.

Ila vimeandikwa kwa Codes kama.

1. Mnyama maana yake ni ufalme au utawala wa kisiasa (DANIELI 7:17)

2. Maji ni sehemu ya dunia inayokaliwa na watu (UFUNUO 17:15)

3. Nchi ni sehemu ya dunia isiyokaliwa na watu (kinyume cha maji ya UFUNUO 17:15)

4. Pembe yenye kilemba (crown) ni utawala mdogo au jimbo (Ufunuo 13:1)

5. Pembe isiyo na kilemba ni itikadi (Ideology)

6. Joka ni Shetani (Ufunuo 12:9)
Basi, Biblia ktk Ufunuo 13 imetaja wanyama wawili kwa maana ya tawala mbili. Ufunuo 13:1
 
Ipo siku binadamu ata control kila kitu ulimwenguni hata hiyo supernatural power itakuwa powerless.

Ni suala la muda tu.

Hata kifo naamini kitakuja dhibitiwa na uhai kuweza kurudishwa kwa viumbe mfu.
Ndoto za mchana
 
Kila kiumbe hai hujitengeneza chenyewe automatically huku mchakato mzima ukiendeshwa na mazingira.

Reasons......
-Kama Supernatural power isingekuwa ni mazingira basi viumbe hai visingekuwa na pahala maalumu pakuishi ulimwenguni (vingeweza kuishi popote pasipo shaka wala kudhulika).
Je unazungumzia vipi suala la vitu 'kujiumba' kwa kuwa tata zaidi badala ya kuwa sahili?

Umesema hiyo supernatural power ni mazingira. Unazungumziaje tabia inayoonekana kwenye mazingira kila siku ni kuvisambaratisha vitu badala ya kuvikusanya.

Je hiyo supernatural power (mazingira) kuna wakati inakuwa na akili, kwa malengo yake inaweka mazingira vitu 'vijiumbe' kuwa tata zaidi? Kama sivyo eleza ni kivipi complexity ina arise in the environment which always favour lower entropy states.

Tumia lugha yoyote kujibu maswali. Nna akili ntaelewa. Na kama maswali hayajaeleweka, una akili chambua🤨.
 
Ipo siku binadamu ata control kila kitu ulimwenguni hata hiyo supernatural power itakuwa powerless.

Ni suala la muda tu.

Hata kifo naamini kitakuja dhibitiwa na uhai kuweza kurudishwa kwa viumbe mfu.
Kwa uwoga wa kufikiri ,Kuna muda tunashindwa Kuamisha wazo Kuwa uhalisia,
Tunakoelekea sisi binadamu katika tech hakutakuwa Hata chombo kiendacho kasi kama binadam mwenyewe,
Yaani nahisi tutakuwa sehemu ya mashine...
 
Umewaza mbali sana, mfano hai ni wadudu ambao hutokea kwenye takataka zilizokaa mida mrefu au mdudu ndani ya Kokwa la embe.

Conducive environment ndio inafanya uwepo wa kiumbe hai sehemu flani
 
Back
Top Bottom