Underthesea
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 327
- 882
- Thread starter
-
- #21
Huyo jamaa kasema ashawahi kugongewa mlango na mdada kuulizwa kama anataka "huduma". Kasema wapo wanaofanya hivyo ili wapate pesa za kulipia kukaa humoKm mnamyuti inawezekana kudemka humohumo
I had to Google.Hikikomori ndio kimbilio lao.
It's a dream come true.😉Kwa sisi ma introvert hii inatufaa sana
Ndio wapo wanaenda kusoma Manga mkuu 😏😏Warembo wa Kijapan wanapatikana humo pia?
Ulishaishi uko?au ndo mambo ya gugo?Hapo wife akikitibua home unaenda kulala humo unarudi hom kesho yake[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwan huu uzi unahusu watu waliowai kuishi huko tu? Nisijekuwa nimepotea njia.Ulishaishi uko?au ndo mambo ya gugo?
Tupo wengi wa aina yako,tunachangia kulingana na maelezo ya mtoa madaKwan huu uzi unahusu watu waliowai kuishi huko tu? Nisijekuwa nimepotea njia.
Nimechangia kuendana na mazingira yalivyo elezewa na mleta mada
Sikuwa na mana iyo,ulivyochangia kwa undani sanaKwan huu uzi unahusu watu waliowai kuishi huko tu? Nisijekuwa nimepotea njia.
Nimechangia kuendana na mazingira yalivyo elezewa na mleta mada